Tag: Freeman Mbowe

1 54 55 56 57 58 99 560 / 984 POSTS
Maombi kwa mapacha

Maombi kwa mapacha

Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kufanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na ini (lak [...]
Umaarufu wampeleka R Kelly jela miaka 30

Umaarufu wampeleka R Kelly jela miaka 30

Mwimbaji wa Marekani, Robert Kelly maarufu R Kelly amehukumiwa jana JUni 29,2022 kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kutumia hadhi yake ya kuwa nyot [...]
Mambo yazidi kupamba moto

Mambo yazidi kupamba moto

Huwenda ulikua mmoja ya watu waliodhani kwamba kitendo cha Mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Harmonize kutangaza kuhusu meneja wake mpya ni utani, basi f [...]
Zawadi za Rais Samia kwa Watanzania kutoka Oman

Zawadi za Rais Samia kwa Watanzania kutoka Oman

Haijapata kutokea, ndivyo unavyoweza kusema kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika suala zima la kukuz [...]
Rais Samia atimiza ahadi ya bajaji kwa Clara

Rais Samia atimiza ahadi ya bajaji kwa Clara

Lile agizo alilolitoa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan la kumpatia bajaji mjasiriamali wa lishe, Clara Sanga alilolitoa juzi kwenye maadhimisho ya miaka [...]
Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa wizi wa ndimu

Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa wizi wa ndimu

Mahakama ya Wilaya Mwera imemhukumu Ramadhan Gere Shija (20) mkazi wa Bungi kutumikia Chuo cha Mafunzo kwa muda wa mwaka mmoja na kulipa faini ya Sh5, [...]
Wanaotuma ujumbe wa jiunge na freemason wakamatwa

Wanaotuma ujumbe wa jiunge na freemason wakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu 23 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya utapeli kwa njia ya mtandao. Kukamatw [...]
Wadudu hawa hufanya mapenzi kwenye uso wako

Wadudu hawa hufanya mapenzi kwenye uso wako

Wadudu chini ya ngozi ya uso kama vile Demodex folliculorum hutumia maisha yao yote kuishi ndani kabisa ya uso wa mwanadamu. Usiku, viumbe hao huon [...]
Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and [...]
Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulgea amesema seriklai imejipanga kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji katika sekta ya mazi [...]
1 54 55 56 57 58 99 560 / 984 POSTS
error: Content is protected !!