Tag: Freeman Mbowe
Rais Samia aikumbuka kata ya Kitandililo
Wananchi wa Kata ya Kitandililo, Wilaya ya Makambako Mjini, Mkoani Njombe wamemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kuwajengea kituo cha Afya katika kata hiy [...]
Tanzania, Uswisi na Ufaransa mambo safi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana kwa pamoja na kufanya mazungumzo na mabalozi wa Ufar [...]
DJ Khaled atunukiwa nyota ya heshima
Jana Aprili 11,2022 DJ Khaled ametunukiwa nyota ya heshima kwenye Hollywood Walk of Fame akiwa ni mtu wa 2,719 kukabidhiwa tangu kuanza kwa Walk Of F [...]
ACT-Wazalendo waja na suluhu mfumuko wa bei
Msemaji wa kisekta wa ACT-WAZALENDO, Dorothy Semu, amesema hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, bungeni kuhusu suala la mfumuko wa bei za bidhaa ha [...]
WAKE: Tuna haki ya kwenda Dubai kama michepuko
Kikundi cha wanawake jijini Kampala wamefanya maandamano asubuhi hii ya leo tarehe 11 mwezi Aprili wakishinikiza wanaume zao kuwaongezea kiwango cha p [...]
Wananchi Ngorongoro wakubali kuhama
Wananchi wanaoishi ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamesema kupata haki miliki ya nyumba ndani ya mamlaka hiyo ni ndoto hivyo ni vema kuhamia en [...]
TMDA: Marufuku sigara hadharani
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ni kosa kisheria kuvuta sigara hadharani au kwenye maeneo ya mikusanyiko na atakayebainika kufanya hivyo [...]

50 Cent: Mmefanyia vibaya Will Smith
Rapa kutoka nchini Marekani Curtis James Jackson III maarufu kama 5O cent amemkingia kifua Muigizaji Will Smith kutokana na adhabu aliyopewa kwa kusem [...]
Video zinazo-trend Youtube Aprili 9,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumamosi Aprili9,2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch? [...]
Mambo 5 ya kufanya wikiendi
Baada ya kufanya kazi kwa muda wa siku tano mfululizo, watu wengine hupenda kupumzika siku ya jumamosi na jumapili ili kuondoa uchovu wa wiki nzima.
[...]