Tag: habari kubwa za michezo
Mama G ndani ya Jua Kali ya Lamata
Mwigizaji maarufu kutoka nchini Nigeria Patience Ozokwo maarufu kama Mama G ameanza kuonekana kwenye tamthilia pendwa ya Jua Kali inayoandaliwa na Lea [...]
CCM kubadili katiba Aprili 1, 2022
Katibu Mwenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka, leo Jumamosi, amesema Aprili 1, 2022, chama hicho kitafanya mkutano mkuu maalumu kwa ajili ya kufanya marekebi [...]
Tanzania kwenye ligi kuu ya Hispania
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa vilabu vya Atletico Madrid na Getafe vinavyoshiriki Ligi Kuu ya H [...]
Tazama hapa video zilizo-trend Youtube Machi 11,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 11, 2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=njxSVi [...]
Shilole: Nitamtia Nuh makofi
Msanii wa BongoFleva Shilole ametambulisha rasmi wimbo wake mpya wa Mama Ntilie unaendelea kufanya vizuri katika mitandao mbalimbali tangu siku ya kua [...]
Bajaji Mbeya: Asante Rais Samia
Vijana waendesha bajaji kutoka Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi na shukurani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Sa [...]
Ngorongoro: Tembo aua mmoja
Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya Narudwasha Titika (45), mkazi wa kijiji cha Alaitore kilichopo ndani ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro amefari [...]
Muhimbili: Hatuhusiki
Hospitali ya Taifa Muhimbili imetoa taarifa ya kukataa kuhusika na usambazaji wa video inayomuonyesha Mwanamuziki Profesa Jay akiwa katika chumba cha [...]
Tahadhari homa ya manjano
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Watanzania wanapaswa kuchukua tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya manjao uliopo nchini Kenya na kuahidi ku [...]
Mambo 4 ya kufanya baada ya tendo la ndoa
Unafahamu kwamba kuna mambo unatakiwa kufanya mara baada ya kumaliza kushiriki tendo la ndoa? Ni muhimu kufanya hivyo hili kukuwezesha kubaki na afya [...]

