Tag: habari kubwa za michezo
Magazeti ya leo Januari 25,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Januari 25,2023.
[...]
Rais Samia afanya utenguzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya utenguzi wa nafasi za Viongozi wafuatao:-
1. Bw. Reuben Ndiza Mfune, Mku [...]
Wito wa Rais Samia kuhusu uwekezaji wavutia kampuni 400 kutoka Ulaya
Akiwa kwenye maonesho ya biashara ya kimataifa (Dubai Expo), Rais Samia Suluhu Hassan aliwaalika wawekezaji na wafanyabiashara waliohudhuria mkutano h [...]
Uzalishaji Umeme na gesi asilia waongezeka nchini
Wizara ya Nishati imesema uwezo wa mitambo ya kuzalisha umeme iliyoungwa katika mfumo wa gridi ya taifa umeongezeka na kufi kia megawati 1,777.05 Dese [...]
Magazeti ya leo Januari 24,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Januari 24,2023.
[...]
Nafasi za kazi 320 TAKUKURU
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetangaza nafasi 320 za kazi kwa vijana wa Kitanzania wenye umri usiozidi miaka 30.
Nafasi hiz [...]
Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar
Mamlaka ya Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku bidhaa aina ya Lump Sugar maarufu ‘Vipipi utamu’ vinavyodaiwa kutumiwa na baadhi ya wanaw [...]
Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania
Miradi mipya 630 ya uwekezaji inayotekelezwa na kampuni za India yenye thamani za dola 3.68 bilioni imesajiliwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kupiti [...]
Magazeti ya leo Januari 20,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Januari 20,2023.
[...]
Mnada wa chai kuanza, serikali yaondoa tozo
Mnada wa zao la chai nchini unaotarajiwa kuanza kufanywa jijini Dar es Salaam mwaka huu, huku serikali ikitangaza neema kwa wakulima kwamba hautakuwa [...]

