Tag: habari kubwa za michezo

1 38 39 40 41 42 123 400 / 1222 POSTS
Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari

Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) inakamilisha mchakato wa kuanza kutoa bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari. Pi [...]
Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Ujerumani wameipata Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 209,746,204,779.00 kwa ajili ya masua [...]
Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

Mbunge wa Vita maalumu , Neema Lugangira ameiomba serikali kuchukua hatua katika maboresho ya uwanja wa ndege Bukoba. Kupitia ukurasa wake wa Insta [...]
Tanzania kumi bora uvutaji bangi

Tanzania kumi bora uvutaji bangi

Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvu [...]
Kocha wa Simba na wenzake 9 wadakwa na dawa za kulevya kilo 34.89

Kocha wa Simba na wenzake 9 wadakwa na dawa za kulevya kilo 34.89

Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Mohamed (40) wa wenzake tisa wamekamatwa na kilo 34.89 za dawa za kulevya aina ya Heroin kwa mujibu w [...]
Amuua kikatili na kisha kumla nyama

Amuua kikatili na kisha kumla nyama

Mkazi wa Kitongoji cha Chang’ombe, Kijiji cha Kaloleni wilayani Songwe, Berta Shugha (69) ameuawa kikatili na mwili wake kukatwa vipande vipande huku [...]
CHADEMA: Tumechoka mtu wetu kuwa mkimbizi

CHADEMA: Tumechoka mtu wetu kuwa mkimbizi

Chama cha Demokrasia (CHADEMA) mkoa wa Singida kimesema kimechoka kumwona Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu akiishi ughaibuni kama mkimbiz [...]
Wanaotupa taka wazomewe

Wanaotupa taka wazomewe

Mhe. Amos Makalla amesema licha ya uwepo wa sheria na kanuni za kuwadhibiti wachafuzi wa Mazingira hususani wanaotupa taka hovyo ni vyema pia ikae [...]
Helikopta kutua Mlima Kilimanjaro

Helikopta kutua Mlima Kilimanjaro

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imesema imeridhishwa na miundombinu ya utalii ikiwemo viwanja vya kutua helikopta katika Hifad [...]
Watahiniwa 566,840 kidato cha nne kuanza mtihani kesho

Watahiniwa 566,840 kidato cha nne kuanza mtihani kesho

Jumla ya watahiniwa 566,840 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne utakaoanza kesho Novemba 14, 2022 Tanzania Bara na Zanzibar. Kaimu Mtend [...]
1 38 39 40 41 42 123 400 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!