Tag: habari magazetini
Serikali inavyokabiliana na changamoto za masoko ya bidhaa za kilimo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inatekeleza mikakati madhubuti kukabiliana na changamoto ya u [...]
Rais Samia: Wananchi toeni maoni Dira ya Maendeleo 2050
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kushiriki katika mchakato wa maandalizi ya Dira ya Maendeleo ya 2050 ili kupata dira jumuishi itakayokid [...]
Rais Samia awafuta kazi Mkuu wa Wilaya wa Mtwara na DED wake
Rais Samia Suluhu Hassan amewafuta kazi Mkuu wa Wilaya wa Mtwara Vijijini, Hanafi Msabaha na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Tatu Issike kwa alichokie [...]
Serikali imekamilisha ukarabati wa shule yenye miaka 106
Serikali imetoa Sh milioni 180 zilizotumika katika ujenzi na kukamilisha ukarabati mkubwa wa vyumba tisa vya madarasa na uwekaji umeme katika shule ko [...]
Chalinze yapokea gari la Zimamoto na Uokoaji
Halmashauri ya Chalinze imepokea gari la Zimamoto na Uokoaji kwa ajili ya kukabiliana na majanga punde yanapatokea wilayani hapo.
Gari hilo, limeto [...]
Rais Samia: Nitaendelea kukaa kimya, Tanzania haigawanyiki
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ameamua kunyamaza kimya na ataendelea kunyamaza kimya, lakini hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa Taifa w [...]
Maswali Sita kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
Na Shemasi George Rugambwa
Seminari ya Ntungamo, Bukoba
Leo TEC imetoa tamko lake kuhusu mkataba wa kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam kati ya Ta [...]
Tumieni maziwa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji
Rais Samia Suluhu Hassan ameziagiza wizara zinazohusika na kilimo na uvivu kufanya mchakato wa kuvuta maji kutoka kwenye maziwa yaliyopo nchini ili ya [...]
Mradi wa Sh270 bilioni watua wanakijiji ndoo
Zaidi ya wakazi 10, 000 wa Kijiji cha Bugayambelele Kata ya Kizumbi Manispaa ya Shinyanga, wameondokana na adha ya kukosa huduma ya maji baada ya mrad [...]
Wanaopinga maboresho bandarini wanania tofauti
Nimejaribu kukumbuka matukio machache ya awamu zilizopita ya maamuzi ya Marais wa awamu zote kuhusu uwekezaji, na kuona kama kuna awamu yoyote wapinza [...]

