Tag: habari za burudani

1 10 11 12 13 14 154 120 / 1532 POSTS
Nauli mpya za daladala

Nauli mpya za daladala

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri ardhini (LATRA) imetagaza viwango vipya vya bei ya nauli za daladala na mabasi ya mikoani huku nauli ya wanafunzi ikibakia [...]
Mtaji wa KCB Bank Kenya wapungua kwa 9% huku Tanzania ukikua 157%

Mtaji wa KCB Bank Kenya wapungua kwa 9% huku Tanzania ukikua 157%

Kenya Commercial Bank (KCB) imeripotiwa kupungua kwa shughuli zake nchini Kenya na ukuaji imara ukishuhudiwa katika matawi yake ya nchi nyingine ndani [...]
Rais Samia: Lengo la BBT ni kupunguza umaskini na kutunza mazingira

Rais Samia: Lengo la BBT ni kupunguza umaskini na kutunza mazingira

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema lengo la Programu ya Jenga Kesho iliyobora (BBT) ni kupunguza umaskini [...]
Fahamu mashirika 9 yaliyofutiwa usajili

Fahamu mashirika 9 yaliyofutiwa usajili

Bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini imefuta leseni za uendeshaji za mashirika tisa ya kimataifa na kitaifa ikiwemo taasisi ya Mo [...]
Mazungumzo ya kurudisha mabaki ya miili na mafuvu kuanza

Mazungumzo ya kurudisha mabaki ya miili na mafuvu kuanza

Tanzania na Ujerumani zinatarajia kuanza mazungumzo rasmi juu ya yaliyojiri wakati wa ukoloni ikiwemo kurejesha mabaki ya miili na mafuvu yaliyochukul [...]
Matukio katika picha Rais Samia Suluhu akiwa Zambia

Matukio katika picha Rais Samia Suluhu akiwa Zambia

Rais Samia Suluhu ameweka shada Mnara wa Uhuru wa Zambia na kaburi la Rais wa Kwanza wa Zambia, Dkt. Kenneth Kaunda. Leo Zambia inaadhimisha [...]
Rasmi DP World kuendesha sehemu ya bandari ya Dar kwa miaka 30

Rasmi DP World kuendesha sehemu ya bandari ya Dar kwa miaka 30

Tanzania imesaini mikataba mitatu na kampuni ya DP World ya Dubai ya kukodi na kuendesha sehemu ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 30, miezi minne [...]
Rais Samia mgeni rasmi miaka 59 ya uhuru Zambia

Rais Samia mgeni rasmi miaka 59 ya uhuru Zambia

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 59 ya Uhuru wa Jamhuri ya Zambia zinazotarajiwa kufanyika [...]
Rais Samia: Viongozi simameni imara

Rais Samia: Viongozi simameni imara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasihi viongozi wa mkoa wa Singida kuhakikisha wanasimama imara katika uteke [...]
Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano

Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anajiandaa kwa ziara ya kihistoria ya kiserikali nchini India kuanzia Oktoba 8 hadi 11, [...]
1 10 11 12 13 14 154 120 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!