Tag: habari za burudani

1 17 18 19 20 21 154 190 / 1532 POSTS
Wafanyabiashara Kariakoo wakubali Ombi

Wafanyabiashara Kariakoo wakubali Ombi

Licha ya kupongeza hatua hiyo ya Serikali kuitikia wito na kuamua kuzivalia njuga changamoto zao Mwenyekiti wa wafanyabiashara sokoni hapo Martin Mbwa [...]
Vibali vya minara kutoka ndani ya mwezi mmoja na sio miezi 6

Vibali vya minara kutoka ndani ya mwezi mmoja na sio miezi 6

Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zinazohusika na utoaji wa vibali vya ujenzi wa minara ya simu kwa kampuni za simu kutoa vibali hivyo ndani [...]
Membe afariki dunia

Membe afariki dunia

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Mhe.Bernard Kamilius Membe, amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam [...]
Rais Samia aridhia miaka 30 kulipa Magomeni Kota

Rais Samia aridhia miaka 30 kulipa Magomeni Kota

Wakala wa Mjengo Tanzania (TBA) umesema Rais Samia Suluhu ameridhia wakazi 644 wa Magomeni Kota, Dar es Salaam waongezewe muda wa ununuzi wa nyumba zi [...]
Rais Samia apewa maua yake na klabu ya Seattle Sounders Marekani

Rais Samia apewa maua yake na klabu ya Seattle Sounders Marekani

Mashabiki takribani 31,620 waliohudhuria mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Marekani na mamilioni zaidi duniani waliokuwa wakitazama “live” mechi ya Seattle [...]
Rais Samia aanza mchakato wa kupata Katiba Mpya

Rais Samia aanza mchakato wa kupata Katiba Mpya

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhes. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi, kuitisha kikao maalum cha Baraz [...]
Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku

Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku. Latra imeagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda [...]
Rais Samia arejesha nyongeza za mishahara

Rais Samia arejesha nyongeza za mishahara

Rais Samia Suluhu Hassan amerejesha utaratibu wa nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma ya kila mwaka ambao ulisitishwa kwa muda mrefu na ameahidi [...]
Rais Samia Suluhu mfanyakazi bora

Rais Samia Suluhu mfanyakazi bora

Wakati leo ni sikukuu ya Wafanyakazi duniani, Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (ULINGO), umempatia Tuzo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ya kuwa mfan [...]
1 17 18 19 20 21 154 190 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!