Tag: habari za burudani
Barbara kujiuzulu Simba SC
CEO wa timu ya Simba SC, Barbara Gonzalez ameandika baarua ya kujiuzulu kwenye klabu hiyo ya wekundu wa msimbazi taarifa aliyoitoa kupitia ukurasa wak [...]
Miezi 20 ya Rais Samia madarakani
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inavyoitekeleza kauli ya Kazi Iendelee, ndani ya miezi 20 Rais Dkt. Samia Sulu [...]
Wadau waitwa kujadili nauli za SGR
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeitisha kikao cha wadau kujadili nauli za abiria wa treni ya njia ya Reli ya Kisasa--SGR ambapo Shirika [...]
Rais Samia kuifumua serikali
Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wake, amebaini kuwepo kwa baadhi ya watu wasioendana na kasi yake.
Am [...]
Magazeti ya leo Desemba 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Desemba 9,2022.
[...]
Mbeya sasa kuna njia nne
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mbeya mjini, Humphrey Nsomba amempongeza Mwenyekiti wa chama hicho Taifa na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu kwa ujenzi w [...]
Misharahara mipya wafanyakazi wa ndani na hotelini
Serikali imetangaza viwango vipya vya kima cha chini cha mishahara kwa wafanyakazi wa ndani na hotelini ambavyo vitaanza kutumika Januari 1, 2023.
[...]
Kicheko bei mpya za petroli na dizeli
Dar es Salaam. Huenda itakuwa kicheko na maumivu kwa watumiaji wa nishati ya mafuta baada ya kutolewa kwa bei mpya zinazoonyesha kupanda na kushuka kw [...]
Ofa ya Rais Samia yapaisha mapato Wizara ya Ardhi
Mapato ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yameongezeka mara mbili kutokana na ofa iliyotolewa na Rais Samia Suluhu kwa wananchi ya kuli [...]
Ajira Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kuwajulisha kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Camillus Wambura, tarehe 05.12.2022 ametoa tangazo la ajira kwa vija [...]

