Tag: habari za burudani

1 72 73 74 75 76 154 740 / 1532 POSTS
Magazeti ya leo Julai 16,2022

Magazeti ya leo Julai 16,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Julai 16,2022. [...]
Rais Samia aeleza umuhimu wa sekta binafsi

Rais Samia aeleza umuhimu wa sekta binafsi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema kuna umuhimu kwa viongozi na watendaji wa Serikali kutathimini utekele [...]
Rais ajiuzulu

Rais ajiuzulu

Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaska amejiuzulu rasmi leo alhamisi Julai 14,2022 akiwa Singapore. Rais huyo aliamua kukimbia nchi yake siku ya Jum [...]
Wachezaji walioitwa kambini

Wachezaji walioitwa kambini

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Kim Poulsen ameita kikosi cha wachezaji 24, kitakachoingia kambini kwa ajili ya michezo ya kufuzu kwa [...]
Tanapa yapiga marufuku uvaaji wa sare zake

Tanapa yapiga marufuku uvaaji wa sare zake

Jeshi la Uhifadhi wa Wanyamapori na Misitu la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa (TANAPA) imeagiza watu waache kuvaa sare zake popote. Taarifa hii imetole [...]
Watatu wafariki kwa ugonjwa usiofahamika

Watatu wafariki kwa ugonjwa usiofahamika

Wizara ya Afya imetangaza vifo vya watu watatu vilivyosababishwa na ugonjwa ambao bado haujafahamika ambavyo vimetokea katika Kituo cha Afya Mbekenyer [...]
Mkanda wa Nelson Mandela waibiwa

Mkanda wa Nelson Mandela waibiwa

Polisi wa Afrika Kusini wameanzisha msako wa kuwasaka washukiwa walioiba mkanda wa ndondi uliotolewa kwa Nelson Mandela na bingwa wa Marekani Sugar Ra [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wadaiwa kodi ya ardhi

Rais Samia atoa msamaha kwa wadaiwa kodi ya ardhi

Serikali imetangaza masamaha wa kodi kwa wadaiwa sugu wa ardhi zikiwemo taasisi za dini na mashirika kulipa madeni yao bila riba katika kipindi cha mi [...]
Serikali yatoa tamko kuhusu ugonjwa usiofahamika

Serikali yatoa tamko kuhusu ugonjwa usiofahamika

Taarifa kwa vyombo vya habari na wananchi kuhusu ugonjwa usiofahamika Mkoani Lindi [...]
Rais wa Sri Lanka kujiuzulu leo

Rais wa Sri Lanka kujiuzulu leo

Spika wa Bunge nchi Sri Lanka ametangaza kwamba Rais wa Nchi hiyo atajiuzulu leo Julai 13, 2022 baada ya kutuma barua. Akizungumza na waandishi wa [...]
1 72 73 74 75 76 154 740 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!