Tag: habari za kimataifa

1 104 105 106 107 108 171 1060 / 1706 POSTS
Faida za kombe la dunia kupita Tanzania

Faida za kombe la dunia kupita Tanzania

Baada ya miaka nane kupita, Tanzania imepata tena bahati ya kuwa mwenyeji wa ziara ya kombe la dunia barani Afrika ikiwa miongoni mwa nchi tisa ambazo [...]
Utatoa faini mifuko 5 ya simenti ukivaa kimini au mlegezo

Utatoa faini mifuko 5 ya simenti ukivaa kimini au mlegezo

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, viongozi wa kata ya Tandala, wilayani Makate Mkoa wa Njombe wametunga sheria ndogo za kuwakamata wananwake w [...]
Mwijaku ashinda kesi

Mwijaku ashinda kesi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Mei 31 imemwachia huru Mwemba Burton maarufu Mwijaku ambaye alikuwa anakabiliwa na shtaka la kusambaza picha za n [...]
Pablo atemwa na Simba

Pablo atemwa na Simba

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo Pablo Franco Martin. Katika kipindi chake koc [...]
Sabaya bado sana

Sabaya bado sana

Hukumu ya Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake imeahirishwa hadi Juni 10, 2022,hii [...]
Rais Samia apongezwa na kaya masikini

Rais Samia apongezwa na kaya masikini

Wananchi mkoani Lindi jimbo la Mchinga wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya awamu ya sita kwa ujumla jinsi anavyoonesha kwa vitendo ku [...]
Aliyeua ajiua

Aliyeua ajiua

Said Oswayo anayedaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kadhaa mke wake Swalha Salum (28) naye amekutwa amejiua kwa kujipiga risasi. Kaimu Kamanda wa Poli [...]
Mashine za kuhesabu magari kufungwa barabarani

Mashine za kuhesabu magari kufungwa barabarani

Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), inawatangazia wananchi na wadau wote usafirishaji kuwa inaendelea na maboresho katika miundombinu ya barabara [...]
Tahadhari juu ya bei ya sukari duniani

Tahadhari juu ya bei ya sukari duniani

Bei ya sukari inatarajiwa kupanda kutokana na vikwazo vya kuuza nje na mataifa kadhaa muhimu yanayozalisha bidhaa zinazotaka kudhibiti kupanda kwa bei [...]
Auawa na mumewe kwa kupigwa risasi za kichwa

Auawa na mumewe kwa kupigwa risasi za kichwa

Mwanamke maarufu jijini Mwanza aitwaye Swalha, aliyekuwa akijishughulisha na masuala ya urembo (make up artist) ameuawa kwa kupigwa na risasi na mumew [...]
1 104 105 106 107 108 171 1060 / 1706 POSTS
error: Content is protected !!