Tag: habari za kimataifa

1 111 112 113 114 115 164 1130 / 1636 POSTS
Viwango vya kubadili fedha Mei 5, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 5, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah

Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah

Mwanamitindo na Mshindi wa taji la Miss East Africa 1998, Miriam Odemba ameendelea kupigania penzi lake kwa kinda kutoka lebo ya Konde Gang, Ibraah kw [...]
Aingizwa mochwari akiwa hai

Aingizwa mochwari akiwa hai

Mzee mmoja raia wa China aokolewa na mhudumu wa mochwari baada ya kupelekwa kwenye chumba hicho cha kuhifadhia maiti akiwa hai. Baada ya kupokea mf [...]
Usilolijua kuhusu kondomu

Usilolijua kuhusu kondomu

Njia za uzazi wa mpango husaidia kuzuia mimba. Hii ina maana kutumia kondomu kimsingi ni njia ya kudhibiti uzazi. Hata hivyo, ingawa udhibiti wa uzazi [...]
Wiz Khalifa aponzwa na bangi

Wiz Khalifa aponzwa na bangi

Kwa wafuatiliaji na wadau mbalimbali wa tasnia ya mitindo duniani, tukio la Met Gala, sio kitu kigeni masikioni kwao. Ukubwa wa tukio hili unafananish [...]
Huduma za Twitter kulipiwa

Huduma za Twitter kulipiwa

Bilionea Elon Musk ambaye ndiyo mmiliki wa mtandao wa Twitter ameshikilia msimamo wake wa kuleta mabadiliko kwenye mtandao huo ikiwemo kulipia huduma [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 4, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 4, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.   [...]
Tanzia: Kipanya afiwa na baba yake

Tanzia: Kipanya afiwa na baba yake

Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast Masoud Kipanya ,amefiwa na baba yake mzazi Mzee Masoud Nyomwa. Msiba uko Mwananyamala na mazishi yanatarajiw [...]
Urusi na UKraine zamuibua Mo Dewji

Urusi na UKraine zamuibua Mo Dewji

Ofisa Mtendaji wa Kampuni ya Mohamed Enterprises (MeTL) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na mwekezaji wa klabu ya Simba , Mohamed Dewji ameshauri [...]
Nchi zilizopandisha mishahara

Nchi zilizopandisha mishahara

Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameboresha maslahi ya watumishi kwa kuongeza kima cha chini cha mishahara kwa viango tofauti. [...]
1 111 112 113 114 115 164 1130 / 1636 POSTS
error: Content is protected !!