Tag: habari za kimataifa
Viwango vya kubadili fedha Mei 5, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah
Mwanamitindo na Mshindi wa taji la Miss East Africa 1998, Miriam Odemba ameendelea kupigania penzi lake kwa kinda kutoka lebo ya Konde Gang, Ibraah kw [...]
Aingizwa mochwari akiwa hai
Mzee mmoja raia wa China aokolewa na mhudumu wa mochwari baada ya kupelekwa kwenye chumba hicho cha kuhifadhia maiti akiwa hai.
Baada ya kupokea mf [...]
Usilolijua kuhusu kondomu
Njia za uzazi wa mpango husaidia kuzuia mimba. Hii ina maana kutumia kondomu kimsingi ni njia ya kudhibiti uzazi. Hata hivyo, ingawa udhibiti wa uzazi [...]
Wiz Khalifa aponzwa na bangi
Kwa wafuatiliaji na wadau mbalimbali wa tasnia ya mitindo duniani, tukio la Met Gala, sio kitu kigeni masikioni kwao. Ukubwa wa tukio hili unafananish [...]
Huduma za Twitter kulipiwa
Bilionea Elon Musk ambaye ndiyo mmiliki wa mtandao wa Twitter ameshikilia msimamo wake wa kuleta mabadiliko kwenye mtandao huo ikiwemo kulipia huduma [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 4, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Tanzia: Kipanya afiwa na baba yake
Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast Masoud Kipanya ,amefiwa na baba yake mzazi Mzee Masoud Nyomwa. Msiba uko Mwananyamala na mazishi yanatarajiw [...]
Urusi na UKraine zamuibua Mo Dewji
Ofisa Mtendaji wa Kampuni ya Mohamed Enterprises (MeTL) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na mwekezaji wa klabu ya Simba , Mohamed Dewji ameshauri [...]
Nchi zilizopandisha mishahara
Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameboresha maslahi ya watumishi kwa kuongeza kima cha chini cha mishahara kwa viango tofauti.
[...]