Tag: habari za kimataifa
CHADEMA yawasilisha hoja 6 Mahakama Kuu
Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kuamua wabunge 19 wa CHADEMA waliovuliwa uanachama kuendelea kuwapo bungeni hadi maombi ya z [...]
Waziri angongwa na bodaboda
Ofisa wa ngazi ya juu katika Serikali na chama cha upinzani cha Sudan People’s Liberation Movement in Opposition(SPLM-IO), Lual Lual Gau, amejeruhiwa [...]
Waziri: Aliyenajisi mtoto na kukimbia naye atafutwe
Baada ya kufika jijini Arusha kwenye ziara fupi ya uhamasishaji wa Siku ya Kimataifa ya Familia, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mak [...]
Alichozungumza Prof. Lipumba na Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba mara baa [...]
LHRC: Spika yupo sawa kuhusu akina Mdee
Afisa Uchehemuzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Maduhu William amefanya uchambuzi kuhusu maamuzi yaliyotolewa leo na Spika wa Jamhuri [...]
Waliogushi barua warudhiswa kazini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia TAMISEMI Ndg. [...]
Tanzania yaguswa na kifo cha Rais wa UAE
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi LIberata Mulamula (Mb) amesaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Umoja wa Fal [...]
Spika Tulia awakingia kifua Mdee na wenzake
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amesema wanachama 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao walivuliwa u [...]
Magazeti ya leo Mei 16,2022.
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Mei 16,2022.
[...]
Kinara mishahara EAC
Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameboresha maslahi ya watumishi kwa kuongeza kima cha chini cha mishahara kwa viango tofauti.
[...]

