Tag: habari za kimataifa
Nyota wa Ponografi amuomba Elon Musk
Nyota wa zamani wa ponografi amesema, Elon Musk anahitaji kupiga marufuku maudhui ya picha na video za utupu kwenye mtandao wa Twitter.
Lisa Ann, 4 [...]
Uokoaji waendelea Mto Mori, 7 wapatikana
Wananchi kwa kushirikiana na wataalam wa maji wanaendelea na zoezi la kutafuta miili ya watu waliozama katika Mto Mori uliokuwa ukifurika jumamosi, ma [...]
CHADEMA yaainisha mafanikio ya ‘Join the chain’
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Benson Kigaila ameeleza mafanikio ya programu yao ya Join the chain na kusema kwamba [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 9, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Magazeti ya leo Mei 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Mei 9,2022.
[...]
Lugha gongano shuleni ipatiwe ufumbuzi
Wabunge wa Tanzania wameeleza maeneo mbalimbali yanayohitaji maboresho kwenye sekta ya elimu nchini ikiwemo lugha itumikayo kufundishia elimu ya msing [...]
Panya Road wasimulia wanavyoiba
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limeendelea kuisimamia operesheni maalum kali na msako wa mtaa kwa mtaa dhidi ya vijana wanaojihusisha n [...]
Hali ya Corona nchini
Wizara ya Afya inaendelea kutoa taarifa kwa umma kuhusu hali ya ugonjwa wa UVIKO-19 nchini. Itakumbukwa kuwa ugonjwa huu ulitolewa taarifa kwa mara ya [...]
Zuchu awajibu BASATA
Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram, Msanii kutoka lebo ya Wasafi, Zuchu amewajibu BASATA kuhusu video ya wimbo wake pamoja na Diamond kufungia k [...]
WAKAZI: Wakristo tuache unafki
Msanii wa Hip Hop kutoka nchini Tanzania, Wakazi ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha TCRA kuifungia video ya wimbo wa 'Mtasubiri" ya Diamond na Zuc [...]

