Tag: habari za kimataifa

1 11 12 13 14 15 164 130 / 1636 POSTS
SGR yaanza majaribio leo Dar hadi Morogoro

SGR yaanza majaribio leo Dar hadi Morogoro

Shirika la Reli Tanzania (TRC) leo February 26,2024 limeanza safari yake ya kwanza rasmi ya majaribio ya treni ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Mkoani [...]
Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers

Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers

Rais Samia Suluhu Hassan amewapongeza vijana wa kitanzania wanaofahamika kwa jina maarufu la Ramadhan Brothers kwa kushinda shindano la ‘America Got T [...]
Mfalme Harald V ampongeza Rais Samia kwa kulinda haki za mtoto wa kike

Mfalme Harald V ampongeza Rais Samia kwa kulinda haki za mtoto wa kike

Mfalme wa Norway, Harald V amempongeza Rais Samia Suluhu kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuhakikisha kwamba analinda na kuzipigania haki za mtoto wa kik [...]
Rais Samia Suluhu na Papa Francis kuendeleza uhusiano wa Tanzania na Vatican

Rais Samia Suluhu na Papa Francis kuendeleza uhusiano wa Tanzania na Vatican

Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis leo Februari 12,2024 San Damaso mjini Vatican na kufanya mazunguko ya faragha. Pia Rais Samia alikutana [...]
Rais Samia awasili Indonesia

Rais Samia awasili Indonesia

Rais Samia Suluhu Hassan alifika Jakarta leo kuanza ziara ya kiserikali nchini Indonesia. Nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia imeendelea kuwa na uh [...]
Jinsi Rais Samia anavyoipaisha Tanzania kiuchumi

Jinsi Rais Samia anavyoipaisha Tanzania kiuchumi

Hatua ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kuitaja Tanzania miongoni mwa mataifa 10 ya Afrika yenye deni dogo la taifa imedhihirisha mafanikio ya ma [...]
Bandari ya Dar kimbilio la wengi

Bandari ya Dar kimbilio la wengi

Mabadiliko katika miundombinu, teknolojia ya kupakua na kupakia shehena na kasi ya kuhudumia meli katika Bandari ya Dar es Salaam kumeifanya bandari h [...]
Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Mhe. Hussein Bashe amesema takwimu za hivi karibu zinaonyesha Tanzania imekuwa mzalishaji wa pili mkubwa wa tumbaku [...]
Rais Samia atengua uteuzi wa kamishna wa petroli na gesi

Rais Samia atengua uteuzi wa kamishna wa petroli na gesi

RAIS Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Kamishna wa Petroli na Gesi, Michael Songora Mjinja. Taarifa iliyotolewa leo Januari 4, 2024, na Mkuru [...]
Tanzania ya pili Afrika, 12 duniani kuongezeka watalii

Tanzania ya pili Afrika, 12 duniani kuongezeka watalii

Tanzania imeongeza idadi ya watalii wa kigeni wanaoingia nchini kwa asilimia 19 kufikia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na idadi ya juu iliyopata ku [...]
1 11 12 13 14 15 164 130 / 1636 POSTS
error: Content is protected !!