Tag: habari za kimataifa

1 140 141 142 143 144 164 1420 / 1634 POSTS
Mpoto alamba shavu Wizara ya Maji

Mpoto alamba shavu Wizara ya Maji

Msanii nguli wa kughani mashairi na muziki Mrisho Mpoto amelamba shavu katika Wizara ya Maji baada ya kuteuliwa na Waziri wa Maji, Jumanne Aweso kuwa [...]
Serikali kufanya tathmini kushusha bei ya vifaa vya ujenzi na vinywaji

Serikali kufanya tathmini kushusha bei ya vifaa vya ujenzi na vinywaji

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji akiwa jijini Dodoma jana alitoa taarifa inayoelezea tathmini ya mwenendo wa uzalishaji, usa [...]
Kiswahili chatambulika rasmi kama lugha ya kazi Umoja wa Nchi za Afrika (AU)

Kiswahili chatambulika rasmi kama lugha ya kazi Umoja wa Nchi za Afrika (AU)

Mkutano wa 35 wa wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) umeridhia na kupitisha ombi la Tanzania la kutaka Kiswahili kiwe lugha ya kazi kati [...]
Tamko kuhusu IST kupita daraja la Tanzanite

Tamko kuhusu IST kupita daraja la Tanzanite

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam , ACP Jumanne Muliro ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinazosem [...]
Kim na Kanye wageuka paka na panya

Kim na Kanye wageuka paka na panya

Mwanamitindo Kim Kardashian na rapa Kanye West ambapo awali walikua kwenye mahusiano na kubarikiwa kupata watoto wanne, North, Psalm, Chicago na Saint [...]
Fahamu faida 4 za kununua nguo za mtumba

Fahamu faida 4 za kununua nguo za mtumba

Nguo za mtumba ni zile ambazo tayari zimekwisha tumika na mtu au watu wengine sehemu nyingine na kuuzwa tena kwa ajili ya matumizi mengine. Watu wengi [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 4,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 4,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa; https://www.youtube.com/watch?v=PkXxm2tCtgs&list=PLq [...]
Furahia wikiendi na filamu ya ‘The girl allergic to Wi-Fi’

Furahia wikiendi na filamu ya ‘The girl allergic to Wi-Fi’

Huwenda ukawa umewahi kusikia magonjwa mengi lakini je, umeshawahi kusikia ugonjwa wa mtu kutoruhusiwa kuwa karibu na sehemu yenye mtandao au kutumia [...]
Serikali yaweka neno matukio ya mauaji

Serikali yaweka neno matukio ya mauaji

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum chini ya waziri Dk. Doroth Gwajima, imezitaka kamati za kupinga ukat [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 3,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 3,2022

Hizo hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa; https://www.youtube.com/watch?v=PkXxm2tCtgs&list=PLq [...]
1 140 141 142 143 144 164 1420 / 1634 POSTS
error: Content is protected !!