Tag: habari za kimataifa

1 13 14 15 16 17 171 150 / 1707 POSTS
Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hii leo tarehe 29 Oktoba 2024, anatarajia kuondoka nchini kuelekea Des Moines, nchini Mar [...]
Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245

Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linamshikilia Derick Junior (36) Mkazi wa Salasala, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujeruhi n [...]
TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza

TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Heslb) imesema wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza wamepatiwa mkopo wenye thamani ya Sh 233.3 bilioni kwa [...]
Uandikishaji daftari la wapiga kura wafikia asilimia 94.8 ya lengo

Uandikishaji daftari la wapiga kura wafikia asilimia 94.8 ya lengo

Serikali imesema Watanzania milioni 31.2 sawa na asilimia 94.8 ya lengo wamejitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa [...]
Zaidi ya wananchi 18,000 kunufaika na mradi wa maji Bukoba

Zaidi ya wananchi 18,000 kunufaika na mradi wa maji Bukoba

WANANCHI zaidi ya 18000 wa kata sita za Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera waliokuwa na changamoto ya maji kwa muda mrefu wanatarajia kunufaika na mradi w [...]
Rais Samia ahitimisha ziara yake mkoani Ruvuma kwa kishindo

Rais Samia ahitimisha ziara yake mkoani Ruvuma kwa kishindo

Rais Samia Suluhu Hassan amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku sita mkoani Ruvuma na kuhutubia maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano katika Uwa [...]
Rais Samia awapatia gari wanafunzi wa Shule ya Samia Namtumbo

Rais Samia awapatia gari wanafunzi wa Shule ya Samia Namtumbo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekubali ombi la kuwapatia gari la shule wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dkt. Samia Suluhu Ha [...]
Rais Samia: Tunatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais Samia: Tunatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu amesema serikali yake anayoiongoza inatekeleza kwa vitendo maagizo yote yaliyomo katik [...]
Orodha ya majina ya viongozi wa Chadema na wananchi waliokamatwa

Orodha ya majina ya viongozi wa Chadema na wananchi waliokamatwa

Jeshi la Polisi limetoa orodha ya majina ya watuhumiwa waliokamatwa kwa kosa la kwenda kinyume na katazo la kufanya maandano.     [...]
Tanzania kuongeza usafirishaji wa gesi asilia kwa nchi jirani

Tanzania kuongeza usafirishaji wa gesi asilia kwa nchi jirani

Tanzania inasonga mbele na mipango ya kupanua usafirishaji wa gesi asilia kwa nchi jirani, zikiwemo Uganda, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (D [...]
1 13 14 15 16 17 171 150 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!