Tag: habari za kimataifa

1 42 43 44 45 46 164 440 / 1640 POSTS
Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi

Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Kibiti, Goefrey Haule, kwa tuhuma za rushwa na kukutwa ame [...]
Bilioni 7 kumaliza kero ya maji Ludewa

Bilioni 7 kumaliza kero ya maji Ludewa

Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 7 kwa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),kwa ajili ya kutekeleza mradi  mkubwa wa maji kat [...]
Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu

Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kitaamua kama kiendelee mazungumzo na CCM au la ifikapo mwezi ujao kwa kile wanachodai kuwa mambo [...]
Nchi zinazoongoza kwa mfumuko wa bei za vyakula

Nchi zinazoongoza kwa mfumuko wa bei za vyakula

Kwa mujibu wa tathmini ya Benki ya Dunia, Zimbabwe ndiyo nchi inayoongoza kuwa na gharama kubwa ya chakula huku ikitajwa kuongezeka kwa asilimia 321 k [...]
Magazeti ya leo Novemba 28,2022

Magazeti ya leo Novemba 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania Jumatatu Novemba 28,2022. [...]
Rais Samia : Tunzeni siri za serikali

Rais Samia : Tunzeni siri za serikali

Rais Samia Suluhu Hassan amewahakikishia watunza kumbukumbu na nyaraka nchini kuwa Serikali itawalinda kwa kutambua kada hiyo ni kitovu cha Serikali. [...]
Mgawo wa maji Dar, Pwani umekwisha

Mgawo wa maji Dar, Pwani umekwisha

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makala ametangaza kusitishwa rasmi kwa mgao wa maji katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani. Makala ameyasema hayo [...]
Fidia kulipwa kwa wakazi wa Bonde la Msimbazi

Fidia kulipwa kwa wakazi wa Bonde la Msimbazi

Zaidi ya wananchi 11,000 wanatarajiwa kulipwa fidia Januari mwakani kupisha ujenzi wa daraja la juu la kisasa la Jangwani na uendelezaji wa Bonde la M [...]
Magazeti ya leo Novemba 24,2022

Magazeti ya leo Novemba 24,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Novemba 24,2022. [...]
Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, anafanya mambo makubwa kwa taifa na faida yake itaonekana miaka ya hivi karib [...]
1 42 43 44 45 46 164 440 / 1640 POSTS
error: Content is protected !!