Tag: habari za kimataifa

1 58 59 60 61 62 171 600 / 1707 POSTS
Magazeti ya leo Oktoba 13,2022

Magazeti ya leo Oktoba 13,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Oktoba 13,2022. [...]
Fahamu kompyuta 5 bora za kununua

Fahamu kompyuta 5 bora za kununua

Katika ulimwengu wa sasa wa sayansi na teknolojia matumizi ya kompyuta mpakato katika shughuli za masomo, biashara au kiofisi yameongezeka kwa kiasi k [...]
Benki ya Dunia yaitengea Tanzania trilioni 5

Benki ya Dunia yaitengea Tanzania trilioni 5

Benki ya Dunia imeshukuriwa kwa kuitengea Tanzania dola za Marekani bilioni 2.1 sawa na shilingi trilioni 4.9 katika mzunguko wa 20 wa IDA (Julai 2022 [...]
Magazeti ya leo Oktoba 12,2022

Magazeti ya leo Oktoba 12,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Oktoba 12,2022. [...]
Ziara ya Rais Samia Kigoma

Ziara ya Rais Samia Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19 mwezi huu. Akitoa taarifa kwa vyo [...]
Sonona inavyoathiri wanawake kiakili

Sonona inavyoathiri wanawake kiakili

Watu milioni nchini wanaishi na ugonjwa wa sonona huku wengi wao wakiwa wanawake. Kauli hiyo imetolewa jana Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Ummy M [...]
Tanzania na Kenya zapanga kuondoa vikwazo 14 vya biashara

Tanzania na Kenya zapanga kuondoa vikwazo 14 vya biashara

Huenda uchumi wa Tanzania na Kenya ukakua zaidi kwa siku za usoni mara baada ya viongozi wakuu wa mataifa hayo kuwaagiza mawaziri wa biashara na uweke [...]
Fahamu chanzo cha kufeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sheria

Fahamu chanzo cha kufeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sheria

Anguko kwenye mtihani wa uwakili katika Shule Kuu ya Sheria Tanzania (LST) limefikia hatua mbaya na kuwaibua wanasheria na wadau wakitaka utafiti ufan [...]
Juhudi za Rais Samia zimepandisha uwezo wa Tanzania kukopesheka

Juhudi za Rais Samia zimepandisha uwezo wa Tanzania kukopesheka

Kutokana na hatua zilizochukuliwa na Rais Samia Suluhu, viwango vya Tanzania vimepanda kwenye tathmini ya kukopesheka na kuvutia uwekezaji kutoka nje [...]
Ushirikiano: Siri ya mafanikio Kenya na Tanzania

Ushirikiano: Siri ya mafanikio Kenya na Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameeleza mambo aliyozungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Ruto ambaye y [...]
1 58 59 60 61 62 171 600 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!