Tag: habari za kimataifa
Karia atia neno Siku ya Wananchi
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia ameipongeza Yanga kumualika Kocha mkubwa Afrika Pitso Mosimane na kwamba amesikia Simba nao w [...]
‘Long Distance’ yawashinda, waamua kuachana
Kwa mujibu wa tovuti ya ENews imeandika kwamba mahusiano ya mwanamitindo Kim Kardashian na Pete Davidson yamefika tamati baada ya kudumu kwa miezi 9
[...]
Mange Kimambi afutiwa akaunti
Account ya mange Kimambi iliyokuwa na wafuasi zaidi ya Million 6 imefutwa na Instagram kutokana na Kuvunja sheria za Instagram.
Kupitia akaunti yak [...]
Rais Samia azindua mradi wa maji Mbalizi
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua mradi wa maji wa Shongo- Mbalizi uliopo mkoani Mbeya ambao umegharimu zaidi ya Sh3.3 bilioni na utahudumia zaidi wa [...]
Royal Tour yaleta mafuriko ya watalii nchini
Idadi ya watalii wanaokuja nchini baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kushiriki na kuongoza ziara za uzinduzi wa filamu ya Royal Tour nchini Marekani im [...]
Serikali yatenga bil. 2.1 kwa ajili ya mashindano ya UMITASHUMNTA na UMISSETA
Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. David Silinde ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendel [...]
Magazeti ya leo Agosti 5,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Agosti 5,2022.
[...]
Uwepo wa Monkeypox nchini
Serikali kupitia Wizara ya afya imesema kuwa Mpaka sasa hakuna mgonjwa aliyetambulika na kuthibitika kuwa na ugonjwa homa ya nyani (Monkeypox) hapa nc [...]
IGP Wambura afanya mabadiliko
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IJP Camillus Wambura amefanya mabadiliko madogo kwa baadhi ya Makamanda wa Polisi ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi. [...]
Bilioni 100 ya Samia yapunguza makali bei ya mafuta
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika [...]