Tag: juma jux

1 10 11 12 13 14 57 120 / 564 POSTS
Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi

Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Kibiti, Goefrey Haule, kwa tuhuma za rushwa na kukutwa ame [...]
Bilioni 7 kumaliza kero ya maji Ludewa

Bilioni 7 kumaliza kero ya maji Ludewa

Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 7 kwa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),kwa ajili ya kutekeleza mradi  mkubwa wa maji kat [...]
Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu

Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kitaamua kama kiendelee mazungumzo na CCM au la ifikapo mwezi ujao kwa kile wanachodai kuwa mambo [...]
Rais Samia : Tunzeni siri za serikali

Rais Samia : Tunzeni siri za serikali

Rais Samia Suluhu Hassan amewahakikishia watunza kumbukumbu na nyaraka nchini kuwa Serikali itawalinda kwa kutambua kada hiyo ni kitovu cha Serikali. [...]
Rais Samia ampa miezi mitatu Waziri Aweso

Rais Samia ampa miezi mitatu Waziri Aweso

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa miezi mitatu kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akamilishe mradi wa maji unojengwa kwa Sh bilioni 1.7 wilayani Monduli. [...]
Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, anafanya mambo makubwa kwa taifa na faida yake itaonekana miaka ya hivi karib [...]
Rais Samia atunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora AFRIMMA 2022

Rais Samia atunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora AFRIMMA 2022

Waandaji wa tuzo za AFRIMMA wamemtunukua Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya Uongozi Bora kwa mwaka 2022 kutokana na  mchango wake katika ku [...]
Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari

Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) inakamilisha mchakato wa kuanza kutoa bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari. Pi [...]
Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Ujerumani wameipata Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 209,746,204,779.00 kwa ajili ya masua [...]
Diwani Rwakatare apotea tena

Diwani Rwakatare apotea tena

Yule Diwani aliyepotea kwa Miezi mitatu na kupatikana kwenye nyumba ya mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Ashura Ally Matitu, mkazi wa Tabata da [...]
1 10 11 12 13 14 57 120 / 564 POSTS
error: Content is protected !!