Tag: nafasi za kazi
Wilaya 64 kujengwa vyuo vya ufundi stadi
Serikali imesema imetenga Sh bilioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi, katika wilaya 64 ambazo zilikuwa hazijajengewa vyuo hivyo.
A [...]
ACT- Wazalendo wataka mfumo wa Air Tanzania kufumuliwa
Chama Cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kubadili haraka mfumo wa uendeshaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) ili kuliepusha na hasara ambayo ime [...]
Madudu ukaguzi maalum wa CAG REA 2015/2016 mpaka 2019/2020
UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) uliofanywa na CAG umeimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020.
Ukaguzi umefanyik [...]
Bei mpya za mafuta, Petroli na Dizeli zashuka
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo ya mafuta ya petroli, dizeli na taa ambapo bei imepungua kwa Sh 187 kwa [...]
Fahamu madudu matano ya CAG yaliyomkwaza Rais Samia
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema mageuzi ya kimfumo pamoja na usimamizi thabiti wa sheria ndio vitu vitakavyosaidia kupambana na ubadhiri [...]
Waziri Ummy: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia jana tarehe 25 Machi, 2023 hakuna wagonjwa wapya wa Marburg walioripotiwa licha ya kupokea tetesi se [...]
Aweso amuwakilisha Rais Samia Mkutano wa UN
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso anamwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umo [...]
Wafukua kaburi na kuiba sehemu za siri za marehemu
Watu wasiojulikana wamefukua kaburi alipokuwa amezikwa marehemu Ruben Kasala (74) na kuondoa sehemu za siri.
Mtoto wa marehemu, Frank Kasala amesem [...]
Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza
Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa Shule ya Sekondari Mwinuko kwa kosa la kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa kidato c [...]
Miwili bila JPM, Kazi inaendelea
Leo ni kumbukizi ya miaka miwili tangu afariki dunia Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli.
Dk. Magufuli aliaga dunia Machi 17 [...]

