Tag: nafasi za kazi
Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza
Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa Shule ya Sekondari Mwinuko kwa kosa la kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa kidato c [...]
Miwili bila JPM, Kazi inaendelea
Leo ni kumbukizi ya miaka miwili tangu afariki dunia Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli.
Dk. Magufuli aliaga dunia Machi 17 [...]
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa Afrika wa chakula na kilimo
Huenda Afrika likaanza kujitosheleza kwa chakula siku zijazo baada ya wadau wa maendeleo na wataalam wa sekta ya kilimo kukutana Tanzania ili kujadili [...]
Maboresho Bandari ya Tanga yamkosha Balozi wa Rwanda nchini
Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Meja Jenerali Charles Karamba amefanya ziara ya kutembelea Bandari ya Tanga.
Lengo la ziara hiyo pamoja n [...]
Magazeti ya leo Machi 8,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Machi 8,2023.
[...]
Fahamu nchi 10 za Afrika zenye madeni makubwa China
China ni kati ya mataifa makubwa duniani yanayokopesha nchi nyingi za Afrika kiwango kikubwa cha fedha zinazowasaidia kutekeleza miradi na pia kuendes [...]
CHADEMA kupokea milioni 102 ya ruzuku kwa mwezi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema chama hicho kimekubali kupokea ruzuku ya Sh. milioni 102 kwa mw [...]
Bodaboda Arusha wamjibu Lema kuwaita ‘wakimbiza upepo’
Uongozi wa Umoja wa Bodaboda wilayani Arusha (UBOJA) wamelaani kauli iliyotolewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lem [...]
Rais Samia : Uongozi bora ni msingi wa maendeleo
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna shida katika uongozi bora Tanzania, jambo ambalo limekuwa likiibua changomoto kwa baadhi ya viongozi wa Serikali [...]