Tag: nafasi za kazi

1 14 15 16 17 18 81 160 / 804 POSTS
Fahamu nchi 10 za Afrika zenye madeni makubwa China

Fahamu nchi 10 za Afrika zenye madeni makubwa China

China ni kati ya mataifa makubwa duniani yanayokopesha nchi nyingi za Afrika kiwango kikubwa cha fedha zinazowasaidia kutekeleza miradi na pia kuendes [...]
CHADEMA kupokea milioni 102 ya ruzuku kwa mwezi

CHADEMA kupokea milioni 102 ya ruzuku kwa mwezi

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema chama hicho kimekubali kupokea ruzuku ya Sh. milioni 102 kwa mw [...]
Bodaboda Arusha wamjibu Lema kuwaita ‘wakimbiza upepo’

Bodaboda Arusha wamjibu Lema kuwaita ‘wakimbiza upepo’

Uongozi wa Umoja wa Bodaboda wilayani Arusha (UBOJA) wamelaani kauli iliyotolewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini  (Chadema), Godbless Lem [...]
Rais Samia : Uongozi bora ni msingi wa maendeleo

Rais Samia : Uongozi bora ni msingi wa maendeleo

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna shida katika uongozi bora Tanzania, jambo ambalo limekuwa likiibua changomoto kwa baadhi ya viongozi wa Serikali [...]
Tinubu ashinda urais Nigeria

Tinubu ashinda urais Nigeria

Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria (INEC) imemtangaza mgombea wa chama tawala APC, Bola Tinubu kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi. [...]
Kilwa kuwa bandari kubwa ya uvuvi Afrika Mashariki

Kilwa kuwa bandari kubwa ya uvuvi Afrika Mashariki

Wilaya ya Kilwa iliyopo mkoani Lindi ni maarufu sana duniani kutokana na historia yake ya magofu ya kale na yenye vivutio vingi vya utalii. Mji huo [...]
Falme za Kiarabu na Tanzania kuanza usambazaji wa mbolea kimkakati

Falme za Kiarabu na Tanzania kuanza usambazaji wa mbolea kimkakati

Huenda uhaba wa mbolea unaowakumba wakulima wa Tanzania utapungua siku za hivi karibuni baada ya wawekezaji kuonyesha nia ya kuimarisha mfumo wa usamb [...]
Gesi asilia ya Mtwara kusambazwa malawi

Gesi asilia ya Mtwara kusambazwa malawi

Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole amesema mazungumzo kati ya Tanzania na Serikali ya Malawi ya Tanzania kuiuzia gesi asilia inayozal [...]
Ndege kubwa ya mizigo ATCL kuwasili nchini

Ndege kubwa ya mizigo ATCL kuwasili nchini

Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) limesema inatarajia kupokea Ndege nne kwa mwaka huu ambapo ndege kubwa ya mizigo itawasili nchini mwishoni mwa mwezi M [...]
1 14 15 16 17 18 81 160 / 804 POSTS
error: Content is protected !!