Tag: nafasi za kazi
CCM Geita yakosoa usambazaji mbolea ya ruzuku
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimeeleza kutoridhishwa na mwenendo wa usambazaji wa mbolea ya ruzuku kwa wakulima kutokana na mchakato huo ku [...]
Mabasi 4 ya mwendokasi yatengwa kwa ajili ya wanafunzi
Wakala wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) imetenga mabasi manne makubwa asubuhi na jioni kwa ajili ya kubeba wanafunzi wa shule za msingi [...]
Magazeti ya leo Januari 11,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Januari 11,2023.
[...]
Bwawa la Nyerere lazidi kujaa
Ujazo wa maji katika bwawa la kufua ueme la Julius Nyerere (JNHPP) linalotarajiwa kujaa ndani ya miezi 18 hadi jana ulifika mita 108.31 kutoka usawa w [...]
Magazeti ya leo Januari 9,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Januari 9,2023.
[...]
Zaidi ya watainiwa 270 wafutiwa matokeo darasa la nne, kidato cha pili
Udanganyifu katika vyumba vya mitihani umewaponza watahiniwa 279 wa kidato cha pili na darasa la nne mwaka jana kutokana na Baraza la Mitihani Tanzani [...]
Latra yatangaza nauli mpya za mwendokasi
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza nauli mpya za teksi mtandaoni, pikipiki mtandao na Mabasi yaendayo Haraka (BRT) maarufu mwen [...]
Rais Samia atengua zuio la mikutano ya hadhara
Rais Samia Suluhu Hassan ameruhusu kufanyika kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyozuiliwa kwa muda huku akiwataka wanasiasa kufanya siasa z [...]
Asimilia 99 ya lengo yakusanywa na TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 12.46 kati ya Julai hadi Desemba 2022, sawa na 99% ya lengo la kukusanya TZS trilioni 12.48. [...]
Mrithi wa TICTS apatikana
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imepata mtoa huduma w amuda, Kampuni ya Adani Zone Limited (APSEZ) ya nchini India atakayefanya kazi ya kuondoa maka [...]