Tag: nafasi za kazi

1 24 25 26 27 28 80 260 / 800 POSTS
Sababu ya maduka ya Game kufungwa

Sababu ya maduka ya Game kufungwa

Kampuni ya Massmart kutoka Afrika Kusini inayomiliki maduka ya Game imetangaza kuwa Disemba 25, 2022 ni mwisho wa maduka yake kutoa huduma Tanzania. [...]
Madereva wa malori bandarini Dar waigomea TICTS

Madereva wa malori bandarini Dar waigomea TICTS

Madereva malori wameigomea kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es Salaam (TICTS) kutokana ucheleweshaji mkubwa [...]
Mgawo wa maji mbioni kuisha

Mgawo wa maji mbioni kuisha

Wakazi wa wilaya ya Ilala, Kigamboni na Temeke wako mbioni kusahau mgawo wa maji baada ya Mkuu wa MKoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla jana kuwasha pam [...]
Tanzania ya pili utoaji chanjo ya Uviko-19 Afrika

Tanzania ya pili utoaji chanjo ya Uviko-19 Afrika

Mratibu Kiongozi Kimataifa wa Ubia wa Utoaji wa chanjo ya UVIKO-19 Bw. Ted Chaiban ameipongeza Tanzania na nchini nyingine Barani Afrika pamoja na wad [...]
Wenye visima ruksa kusambaza maji

Wenye visima ruksa kusambaza maji

Wakati Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) ikitoa ratiba ya mgao wa maji, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametembelea eneo la mat [...]
Ratiba ya mgao wa maji Dar kuanzia Oktoba 27 hadi 30, 2022

Ratiba ya mgao wa maji Dar kuanzia Oktoba 27 hadi 30, 2022

Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam(DAWASA) imetangaza Ratiba mgao wa huduma ya maji kwa wakazi wa Dar es Salaam kuanzia Alhamisi Okto [...]
Magazeti ya leo Oktoba 27,2022

Magazeti ya leo Oktoba 27,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Oktoba 27,2022. [...]
Kweli walibadilishiwa namba za mtihani

Kweli walibadilishiwa namba za mtihani

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa baraza la Mitihani limejiridhisha kwamba watahiniwa katika shule ya Chalinze Mo [...]
Ubalozi wa Marekani kutoa tiketi za bure kuangalia uzinduzi wa Black Panther II

Ubalozi wa Marekani kutoa tiketi za bure kuangalia uzinduzi wa Black Panther II

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa taarifa kwamba utatoa tiketi za bure kuhudhuria uzinduzi wa filamu ya "Black Panther" utakaofanyika Century [...]
Rais Samia afanya uteuzi

Rais Samia afanya uteuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi kama ifuatavyo:- [...]
1 24 25 26 27 28 80 260 / 800 POSTS
error: Content is protected !!