Tag: nafasi za kazi
Hii hairuhusiwi
Taarifa kwa Umma kutoka Wizara ya Maliasili
JAMBO HILI HALIRUHUSIWI NDANI YA HIFADHI ZETU!
Jambo hili tunaweza kulifurahia lakini ni hatari na H [...]
94.3% wakazi wa DAR wamehesabiwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema Mkoa huo umefanya vizuri kwenye zoezi la Sensa ya watu na Makazi ambapo mpaka asubuhi ya leo Agost [...]
Chama cha Wagumba cha paza sauti
Chama cha Wagumba Tanzania (CCWTZ) kimeahidi kusimamia haki za wagumba nchini ili waweze kuondokana na vitendo vya ukatili wanavyokumbana navyo ndani [...]
Mahakama yatupilia mbali ombi la Ruto
Mahakama ya Juu nchini Kenya imetupilia mbali ombi la Rais Mteule William Ruto la kupinga matumizi ya hati ya kiapo iliyowasilishwa na John Githongo, [...]
TAHADHARI: Mlipuko wa Kipindupindu
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametahadharisha kuwapo mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya mikoa na kuwataka Watanzania kuzingatia usafi [...]
NMB yazindua ATM ya kubadili fedha Uwanja wa KIA
Benki ya NMB jana imezindua mashine ya kutolea fedha (ATM) ya kwanza katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili [...]
Maagizo ya Rais Samia kwa Kamishna Jenerali Mzee
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemtaka Kamishna Jenerali wa Magereza Mzee Ramadhan Nyamka kwenda kufanya kazi kwa [...]
Serikali kuja na bei elekezi ya mifugo
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema serikali ipo kwenye mchakato wa kushirikisha wadau wa sekta ya mifugo kupanga bei elekezi za kuuzia [...]
Nani alipe kodi ya pango?
Kutokana na mjadala mpana unaondelea kuhusiana na kodi ya pango ya asilimia 10 inayopaswa kulipwa na wapangaji wa nyumba binafsi, Mamlaka ya Mapato [...]
UTAFITI TWAWEZA : Fursa nyingi za ajira zinapatikana vijijini
Taasisi isiyo ya kiserikali ya TWAWEZA imesema utafiti uliofanyika hivi karibuni kwa njia ya simu ambapo jopo la wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu umeon [...]