Tag: nafasi za kazi
Tanzania kusambaza umeme Afrika
Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 400 kutoka Iringa, Tanzania hadi Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari mwakani na utakami [...]
Rais Samia apongezwa na CHADEMA
Kada mwandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Morogoro, Acqulline Magalambura amesifu uteuzi wa wakuu wa mikoa uliofanywa na [...]
Marufuku kuhubiri ndani ya mabasi
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafi Ardhini (LATRA), Habibu Suluo amesema kwa mujibu wa kanuni ni marufuku kwa Wafanyabiashara na wanaohub [...]
Rais Samia atuma salamu za pole Mtwara
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa wafiwa waliopoteza ndugu kufuatia ajali iliyotokea Mtwara na kusababisha vifo vya watu 10 wakiwemo [...]
Amuua mkewe kisa elfu kumi
Jeshi la polisi mkoani Manyara linamshikilia Petro Basso (38) mkazi wa Gabadaw wilayani Babati mkoani Manyara kwa kosa la kumpiga mkewe Maria Sakware [...]
67.2% ya wakazi wa Dar wana uzito uliopitiliza
Utafiti wa hivi karibuni umeonyesha kwamba asilimia 67.2 ya wakazi wa Dar es Salaam wana uzito kupita kiasi huku wengi wao wakiwa ni wanywaji wa pombe [...]
Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameagiza uchunguzi wa haraka wa madai ya ubadhilifu w [...]
Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali itatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara iliyotoka katika mishahara ya mwezi Julai, 2022 [...]
TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar
Kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS) kumesababisha msongamano wa makasha hayo bandari ya Dar es Sal [...]
Rais Samia akemea uharibifu wa miundombinu
Rais Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wanaoharibu miundombinu ya barabara ikiwemo kuchimba mchanga kwa sababu vitendo hivyo vi [...]