Tag: nafasi za kazi

1 52 53 54 55 56 81 540 / 808 POSTS
Sababu za watumishi kukosa nidhamu

Sababu za watumishi kukosa nidhamu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kukosekana kwa mafunzo ya kada mbalimbali za utumishi wa umma ni miongoni mwa sababu zinazochangia kutet [...]
Tanzania 10 bora uvutaji bangi Afrika

Tanzania 10 bora uvutaji bangi Afrika

Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvu [...]
Spika Tulia, Mdee na wenzake wakingiwa kifua na WiLDAF

Spika Tulia, Mdee na wenzake wakingiwa kifua na WiLDAF

Tamko la Jukwaa la Wanawake Wakurugenzi wa Asasi za Kiraia nchini Tanzania la kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake viongozi mitandaoni wanaof [...]
Dkt. Mpango na safari ya Uswisi

Dkt. Mpango na safari ya Uswisi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 20 Mei 2022 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Davos nchini Us [...]
Wapata mtoto wa kiume

Wapata mtoto wa kiume

Mwanamuziki nyota Rihanna na rapa A$AP Rocky wameripotiwa kupata mtoto wao wa kwanza, baada ya ujauzito ambao mwimbaji huyo alijidhihirisha katika ure [...]
Lipumba amtabiria makubwa Rais Samia 2025

Lipumba amtabiria makubwa Rais Samia 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Haruna Lipumba amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan k [...]
Diwani CCM apotea

Diwani CCM apotea

Diwani wa Kata ya Kawe mkoani Dar es Salaam, Mutta Rwakatare (CCM) anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha huku vyombo vya dola vikiombwa kus [...]
Kesi ya Mange yafutwa

Kesi ya Mange yafutwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imekubali kuondoa kesi inayomkabili Mkurugenzi wa Mtandao wa U- turn unaoendesha App ya Mange Kimambi, Allen Mhina baa [...]
Mwalimu madrasa alawiti, mwanamke abaka mtoto

Mwalimu madrasa alawiti, mwanamke abaka mtoto

Serikalini mkoani Arusha ikijipanga kumfikisha mahakamani mwalimu wa madrasa, Jumanne Ikungi anayetuhumiwa kuwalawiti wanafunzi 22 wa Shule ya Msingi [...]
Elon Musk asita

Elon Musk asita

Bilionea Elon Musk amesema amesitisha kwa muda mchakato wa ununuzi mtandao wa Twitter wenye thamani ya Dola za Marekani  bilioni 44 (Sh102.3 trilioni) [...]
1 52 53 54 55 56 81 540 / 808 POSTS
error: Content is protected !!