Tag: nafasi za kazi

1 55 56 57 58 59 81 570 / 802 POSTS
Magazeti ya leo Mei 6,2022

Magazeti ya leo Mei 6,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Mei 6,2022. [...]
Vijana wamvamia bibi, wamng’oa ndonya

Vijana wamvamia bibi, wamng’oa ndonya

Vijana wanne katika kijiji cha Namangale walikamwatwa kwa kosa la kumvamia bibi kizee mwenye umri wa miaka 83 na kumng’oa ndonya yake mdomoni kwa leng [...]
Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah

Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah

Mwanamitindo na Mshindi wa taji la Miss East Africa 1998, Miriam Odemba ameendelea kupigania penzi lake kwa kinda kutoka lebo ya Konde Gang, Ibraah kw [...]
Usilolijua kuhusu kondomu

Usilolijua kuhusu kondomu

Njia za uzazi wa mpango husaidia kuzuia mimba. Hii ina maana kutumia kondomu kimsingi ni njia ya kudhibiti uzazi. Hata hivyo, ingawa udhibiti wa uzazi [...]
Wiz Khalifa aponzwa na bangi

Wiz Khalifa aponzwa na bangi

Kwa wafuatiliaji na wadau mbalimbali wa tasnia ya mitindo duniani, tukio la Met Gala, sio kitu kigeni masikioni kwao. Ukubwa wa tukio hili unafananish [...]
Magazeti ya leo Mei 4,2022

Magazeti ya leo Mei 4,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Mei 4,2022. [...]
Nchi zilizopandisha mishahara

Nchi zilizopandisha mishahara

Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameboresha maslahi ya watumishi kwa kuongeza kima cha chini cha mishahara kwa viango tofauti. [...]
CCM yatoa pongezi kwa wafanyakazi

CCM yatoa pongezi kwa wafanyakazi

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pongezi kwa wafanyakazi wote nchi kwa kuunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuongeza mishahara yao, kaul [...]
Kiama cha Panya Road

Kiama cha Panya Road

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema kuanzia leo kutakuwa na operesheni maalumu ya kuwasaka vijana, maarufu Panya Road wanaofanya matuk [...]
Maji ya upako yaharibu sehemu zake za siri

Maji ya upako yaharibu sehemu zake za siri

Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Ummy Msika(45) mkazi wa kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amedai kuharibiwa sehemu za s [...]
1 55 56 57 58 59 81 570 / 802 POSTS
error: Content is protected !!