Tag: nafasi za kazi

1 64 65 66 67 68 81 660 / 804 POSTS
Daraja la Tanzanite kubadilishwa

Daraja la Tanzanite kubadilishwa

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua daraja la jipya la Selander maarufu kama Tanzanite la jijini Dar es Salaam huku akipendekeza alama ya mwenge iliyow [...]
Wezi wamuibia Pogba

Wezi wamuibia Pogba

Wezi wamemuibia kiungo wa Manchester United, Paul Pogba medali yake ya ushindi wa Kombe la Dunia baada ya kuvunja na kuingia nyumbani kwake na kuiba w [...]
Ghorofa la Samia larejesha wanafunzi shuleni

Ghorofa la Samia larejesha wanafunzi shuleni

Shule ya Sekondari Ihanga jijini Mbeya ni kati za shule zilipewa fedha na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na kujengwa kwa mfumo wa ghorofa kutokana na e [...]
Faida za kibiashara kati ya Tanzania na Qatar

Faida za kibiashara kati ya Tanzania na Qatar

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani ambapo wamekuba [...]
Neema vituo vya afya Ludewa

Neema vituo vya afya Ludewa

Halmashauri ya wilaya ya Ludewa mkoani Njombe ni miongoni mwa halmashauri zilizopokea fedha kiasi cha shilingi milioni 250 kwa ajili ya kujenga jengo [...]
Steve : Natoa masaa 48

Steve : Natoa masaa 48

Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT), Steve Nyerere ametoa masaa 48 kwa Mbunge wa Muheza, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA na wasanii w [...]
Kaburi la vijana wengi

Kaburi la vijana wengi

Vijana wengi wamekuwa wakishindwa kutoka kwenye kaburi la kupata mafanikio na kusonga mbele katika maisha na hii ni kutokana na kuwa ndani ya kifungo [...]
Mtoto alawiti wenzake 19

Mtoto alawiti wenzake 19

Mtoto mwenye umri wa miaka 14 (Jina linahifadhiwa) mkazi wa Manispaa ya Iringa, anashikiliwa na Polisi kwa madai ya kuwalawiti watoto wenzake 19 kwa n [...]
Tahadhari kirusi kipya

Tahadhari kirusi kipya

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali inafuatilia uwapo wa aina mpya ya kirusi cha UVIKO-19 kilichothibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO [...]
Mwijaku atangaza nia

Mwijaku atangaza nia

Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena Clouds Radio, Mwijaku ametangaza nia ya kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania wadhifa aliopewa Steve Nyerer [...]
1 64 65 66 67 68 81 660 / 804 POSTS
error: Content is protected !!