Tag: nafasi za kazi

1 74 75 76 77 78 81 760 / 804 POSTS
Wasanii wa Bongo mjifunze kwa Wizkid

Wasanii wa Bongo mjifunze kwa Wizkid

Mwaka 2021 umekuwa ni wa baraka sana kwa nyota kutoka nchini Nigeria Wizkid kwani ngoma yake ya ‘ Essence’ imekuwa ikipasua miamba ya dunia kwa kusiki [...]
Ugonjwa wa wanawake kuota nywele kifuani na usoni

Ugonjwa wa wanawake kuota nywele kifuani na usoni

Baadhi ya wanawake wamekua na nywele maeneo ya kifua na usoni. Kitaalamu hii hali huitwa “Hirsutism” ambapo madaktari hufanya uchunguzi juu ya tatizo [...]
Wanaume wa Kenya hawapendi kutumia kondomu

Wanaume wa Kenya hawapendi kutumia kondomu

Mamilioni ya kondomu zinazotolewa bila malipo zinaweza kupotea kwani Wakenya hawazitumii. Hayo yamebainika wakati wa hafla ya Baraza la Kitaifa la Kud [...]
Jux azindua Rasmi duka la African Boy

Jux azindua Rasmi duka la African Boy

Nyota wa Bongo Fleva na mfanyabiashara Juma Mussa Mkambala maarufu kama Jux, ametimiza ndoto yake ya muda mrefu kwa kufungua rasmi duka lake la nguo z [...]
Mambo (5) ya uongo tuliyoambiwa wakati tunakua kuhusu mahusiano

Mambo (5) ya uongo tuliyoambiwa wakati tunakua kuhusu mahusiano

Unapofikia umri wa balehe wazazi na jamii wanajaribu kukulinda dhidi ya changamoto mbalimbali za ukuaji zinazotokana na mahusiano, Katika kipindi hiki [...]
Kauli ya Jeshi la Polisi kuhusu kugeuza simu za wizi kuwa za biashara

Kauli ya Jeshi la Polisi kuhusu kugeuza simu za wizi kuwa za biashara

Jeshi la Polisi nchi Tanzania leo November 30 limetoa taarifa kufuatia kuwepo kwa taarifa mbaya kuhusu jeshi hilo, Mnamo Novemba 29 mwaka huu kuna taa [...]
Upandikizaji Uboho sasa kufanyika Muhimbili

Upandikizaji Uboho sasa kufanyika Muhimbili

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imeanza rasmi upasuaji na upandikizaji wa uboho( jina la kitaalam, Bone Marrow, ni ute unaopatikana ndani ya mifup [...]
Vanessa Mdee adai kutolipwa na Standard Chartered

Vanessa Mdee adai kutolipwa na Standard Chartered

Aliyewahi kuwa nyota wa muziki nchini Tanzania, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money amewataka wasanii na watu maarufu nchini kuwa makini na kampuni zinazowac [...]
Rais Samia atoa maelezo kuhusu wanafunzi waliojifungua kuendelea na masomo

Rais Samia atoa maelezo kuhusu wanafunzi waliojifungua kuendelea na masomo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ametilia mkazo agizo la Waziri wa Elimu, Joyce Ndalichako kwamba wanafunzi wote waliopata ujauzi [...]
Makonda kizimbani Desemba 3

Makonda kizimbani Desemba 3

Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda anatarajia kufikishwa Kortini tarehe 3 Desemba mwaka huu katika Mahakama ya Hakim [...]
1 74 75 76 77 78 81 760 / 804 POSTS
error: Content is protected !!