Tag: nafasi za kazi
Tanzania na Norway kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo
Tanzania na Norway zimesaini Mkataba na Hati mbili za makubalino ya kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo.
Mkataba na Hati hizo zimesainiwa [...]
Rais Samia Suluhu na Papa Francis kuendeleza uhusiano wa Tanzania na Vatican
Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis leo Februari 12,2024 San Damaso mjini Vatican na kufanya mazunguko ya faragha.
Pia Rais Samia alikutana [...]
Viongozi watano walioambatana nao Rais Samia Vatican
Rais Samia Suluhu Hassan ameambata na viongozi watano wa vyama vya kitume vya Kanisa Katoliki Tanzania kwenda kumwona Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, [...]
Dkt. Mpango aeleza sababu ya kifo cha Lowassa
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa kilichotokea leo tarehe 10 Februar [...]
Sera za Rais Samia zilivyoimarisha shilingi ya Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo
Tangu aingie madarakani Machi 19, 2021 , Rais Samia Suluhu ameweza kuimarisha thamani ya shilingi ya Tanzania na kuendelea kuwa imara ikilinganishwa n [...]
TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeongeza mara mbili umiliki wa kitalu cha gesi asilia cha Mnazi Bay baada ya kusaini mikataba miwili [...]
Rais Samia asisitiza upandaji wa miti nchini
Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na wananchi wa makundi mbalimbali kupanda miti 4720 inayotarajiwa ikiwemo miti 120 ya matunda.
Miti hiyo imepand [...]
Matokeo Kidato cha Nne 2023
Baraza la Mitihani (NECTA) limetangaza watahiniwa 484,823 sawa na 87.65% wa mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2023 wamefaulu.
Akitangaz [...]
Rais Samia amewasihi wananchi kuchagua viongozi wanaofaa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasihi wananchi kushiriki kikamilifu kwenye chaguzi za Serikali za Mit [...]
IMF yatabiri makubwa ukuaji wa uchumi Tanzania
Kulingana na ripoti ya hivi karibuni ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), uchumi wa Tanzania unakaribia kufikia hatua kubwa, ukiwa na Pato la Taifa [...]

