Tag: nafasi za kazi
Sh. bilioni 80 kuendeleza Bandari ya Mbamba Bay
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA imeingia Mkataba wa usanifu na ujenzi wa uendelezaji wa Bandari ya Mbamba Bay iliyopo wilayani Nyasa Mko [...]
Serikali yapeleka dawa na vifaatiba Hanang
Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) imefikisha msaada wa dawa na vifaatiba kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang katika Hospitali ya [...]
Mtaji wa KCB Bank Kenya wapungua kwa 9% huku Tanzania ukikua 157%
Kenya Commercial Bank (KCB) imeripotiwa kupungua kwa shughuli zake nchini Kenya na ukuaji imara ukishuhudiwa katika matawi yake ya nchi nyingine ndani [...]
Rais Samia: Lengo la BBT ni kupunguza umaskini na kutunza mazingira
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema lengo la Programu ya Jenga Kesho iliyobora (BBT) ni kupunguza umaskini [...]
Fahamu mashirika 9 yaliyofutiwa usajili
Bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini imefuta leseni za uendeshaji za mashirika tisa ya kimataifa na kitaifa ikiwemo taasisi ya Mo [...]
Wasiomaliza ujenzi wa shule za sekondari kukiona cha moto
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa wakuu wa mikoa yote nchini kuhakikisha kwamba ujenzi wa miundombinu yote katika shule za sekondari u [...]
Tanzania na Zambia zasaini mikataba 8 ya ushirikiano
Tanzania na Zambia zimesaini mikataba 8 ya ushirikiano, kufuatia ziara ya kitaifa ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Zambia.
Mikataba hiyo ilifuati [...]
Matukio katika picha Rais Samia Suluhu akiwa Zambia
Rais Samia Suluhu ameweka shada Mnara wa Uhuru wa Zambia na kaburi la Rais wa Kwanza wa Zambia, Dkt. Kenneth Kaunda.
Leo Zambia inaadhimisha [...]
Jumuiya ya wakala wa forodha yampongeza Rais Samia kuruhusu uwekezaji wa DP World
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakala wa Forodha Zanzibar na Mjumbe wa JWT, Omary Hussein, amesema mkataba ambao Rais Samia ameusaini ni wa kufungua milango [...]

Rasmi DP World kuendesha sehemu ya bandari ya Dar kwa miaka 30
Tanzania imesaini mikataba mitatu na kampuni ya DP World ya Dubai ya kukodi na kuendesha sehemu ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 30, miezi minne [...]