Tag: trending videos
Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani
Benki ya Dunia imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh bilioni 466.387) kugharamia mradi wa Bonde la Msimbazi ili kuepuka mafuriko na kuliwez [...]
Majaliwa awaita wawekezaji kuja nchini
Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amewataka wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwenye sekta ya utalii, kwa sababu ya amani na utulivu na kwamba Watanzania ni [...]
Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameomba msamaha wananchi wa Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na mijadala iliyoanzishwa na mtoto wake Jene [...]
Kila la heri darasa la saba
Watahiniwa milioni 1.4 wa darasa la saba wanatarajia kuanza mitihani ya kumaliza elimu ya msingi leo, ikiwa ni daraja muhimu kujiunga na sekondari.
[...]
Babu Tale kuwalipia tiketi wasanii 7 waliochaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA
Mbunge wa Morogoro Mashariki na Meneja wa Wasanii wa muziki chini ya lebo ya WCB, Hamisi Taletale ameainisha dhamira yake ya kupambania tiketi za kuwa [...]
TCU yaongeza muda wa udahili vyuoni
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha awamu ya nne na ya mwisho ya udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu litakalokuwa wazi kwa muda wa si [...]
Kampuni 34 kutoka Misri zafuata fursa Tanzania
Jumla ya kampuni 34 kutoka Misri zimeshiriki Mkutano wa Kibiashara jijini Dar es Salaam kwa lengo la kutafuta fursa za uwekezaji na biashara zilizopo [...]
Mradi wa gesi LPG kuanza mwaka huu
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema mradi wa kuchakata gesi asilia mita za ujazo bilioni 4.6 na bidhaa nyingine ya gesi ya kupikia (LPG), unata [...]
Rais Samia atoa bilioni 2.7 kwa ajili ya tiba asili
Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa sh. Bilioni 2.7 ili zitumike kufanya utafiti katika sekta ya tiba asili nchini.
Taarifa ya kutolewa kwa fedha hizo [...]
Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume
Mgombea wa nafasi ya mjumbe wa halmashauri ya CCM wilaya ya Dodoma amewavunja mbavu wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya baada ya kuwaomba wamchague kwa [...]