Tag: trending videos

1 49 50 51 52 53 123 510 / 1230 POSTS
Taulo za kike sasa bure

Taulo za kike sasa bure

Bidhaa za hedhi, zikiwemo tamponi na taulo za kike, zitapatikana bila malipo katika vituo vya umma nchini Scotland kuanzia Jumatatu. Mswada wa Bidh [...]
Ofisa wa Tume aliyepotea Kenya akutwa amefariki Kilombero

Ofisa wa Tume aliyepotea Kenya akutwa amefariki Kilombero

Saa chache baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya kumtangaze Dk William Ruto kuwa Rais mteule wa Kenya, mwili wa ofisa wa tume hiyo [...]
Alichosema Ruto baada ya ushindi

Alichosema Ruto baada ya ushindi

Baada ya Tume Huru ya Uchaguzi kumtangaza Dk William Ruto kuwa mshindi (Rais Mteule)  wa uchaguzi uliofanyika Agosti 9 mwaka huu, ametaja siri ya ushi [...]
Ruto alivyoibuka kidedea

Ruto alivyoibuka kidedea

Hatimaye Tume ya Uchaguzi Kenya imetangaza matokeo ya uchaguzi kama ifuatavyo: William Ruto - 7,176,141 Votes 50.49%   Raila Odinga - 6 [...]
Rais Samia awaonya wanaofanya urasimu kwenye utoaji wa Visa

Rais Samia awaonya wanaofanya urasimu kwenye utoaji wa Visa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza maafisa wanaoshugulikia hati za kumruhusu mtu kuingia nchini (VISA) kuacha u [...]
Urusi wavutiwa na Rais Samia

Urusi wavutiwa na Rais Samia

Serikali ya Urusi imesema sera ya uwazi ya Rais Samia Suluhu Hassan inawatia moyo na kuahidi kuhamasisha uwekezaji,biashara na watalii wengi wa Urusi [...]
Msichana mmoja huambukizwa VVU, kila baada ya dakika moja

Msichana mmoja huambukizwa VVU, kila baada ya dakika moja

Wakati dunia ikiendelea na mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi, nguvu kubwa ielekezwe kuwalinda wasichana ambao wamekuwa wahanga wa ugonjwa huo. ​Kw [...]
Rais Samia: Niwaombe sana kachanjeni

Rais Samia: Niwaombe sana kachanjeni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwataka Watanzania kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa UVIKO-19 kwa kufua [...]
Msimamizi wa uchaguzi Kenya atoweka

Msimamizi wa uchaguzi Kenya atoweka

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya, Wafula Chebukati amevitaka vyombo vya usalama kusaidia kumrudisha afisa wa IEBC ambaye ali [...]
Upanuzi wa Uwanja wa Ndege Iringa mbioni kuanza

Upanuzi wa Uwanja wa Ndege Iringa mbioni kuanza

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi kwenye upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Iringa utakao rahisisha shughuli za utalii hasa kwa [...]
1 49 50 51 52 53 123 510 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!