Tag: trending videos
AD Ports Group na Adani Ports na SEZ Ltd zimesaini mkataba wa makubaliano ya uwekezaji wa miundombinu nchini Tanzania
AD Ports Group, kampuni ya huduma za majini imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na Adani Ports na SEZ Ltd, kampuni kubwa kwenye uwekezaji wa kimkaka [...]
Waliovamia ikulu ya Sri Lanka wakamatwa
Serikali ya Sri Lanka, inakabiliana na baadhi ya viongozi wa waandamanaji walioandaa vuguvugu lililomwondoa madarakani rais wa nchi hiyo mwezi uliopit [...]
Rais Samia azindua mradi wa maji Mbalizi
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua mradi wa maji wa Shongo- Mbalizi uliopo mkoani Mbeya ambao umegharimu zaidi ya Sh3.3 bilioni na utahudumia zaidi wa [...]
Royal Tour yaleta mafuriko ya watalii nchini
Idadi ya watalii wanaokuja nchini baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kushiriki na kuongoza ziara za uzinduzi wa filamu ya Royal Tour nchini Marekani im [...]
Serikali yatenga bil. 2.1 kwa ajili ya mashindano ya UMITASHUMNTA na UMISSETA
Naibu Waziri Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. David Silinde ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendel [...]
Viongozi hakuna kutoka mpaka sensa imalizike
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amewaagiza viongozi wa Serikali ngazi ya mkoa na wilaya [...]
WhatsApp kuwaongezea nguvu Ma-admin
Mtandao wa kijamii wa WhatsApp siku zijazo utawaongezea nguvu viongozi wa makundi ya mtandao huo kuwa na uwezo wa udhibiti ikiwemo kufuta ujumbe wa wa [...]
Utaratibu mpya wa NHIF wasitishwa
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesitisha mara moja utaratibu mpya wa matibabu uliotolewa na mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ulioanza kutumika [...]
Tanzania na Zambia zafufua uhusiano na ushirikiano
Ukurasa mpya ndiyo unavyoweza kusema baada ya Tanzania na Zambia kufufua upya uhusiano wa kindugu na ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo kilim [...]
IGP Wambura afanya mabadiliko
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IJP Camillus Wambura amefanya mabadiliko madogo kwa baadhi ya Makamanda wa Polisi ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi. [...]