Author: Cynthia Chacha
Msimamo wa Tanzania bomba la mafuta EACOP
Serikali ya Tanzania imesema ya kwamba miradi yote mikubwa inayotekelezwa nchini humo inafuata sheria na kanuni za kimataifa ikiwemo za utunzaji wa ma [...]
Rais Samia apongezwa na TUCTA kufanyia kazi vikokotoo
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu cha asilimia 33 kimelenga kumkomboa mtumishi wa u [...]
Magazeti ya leo Septemba 17,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Septemba 17,2022.
[...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Septemba 2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=n0qiBMe8MRw&list=PLqY [...]
Baada ya miaka 22 serikali yawalipa fidia
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mtwara (MTUWASA), imewakabidhi fedha ya fidia wananchi wapatao 50, waliokuwa wanaidai mamlaka hiyo kutokana [...]
Rais Samia alivyookoa fedha za sensa
Kamisaa Mkuu wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema msimamo wa Rais Samia Suluhu umeokoa fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika kughar [...]
Hatua za kuweka chandarua kitandani
Watu wengi wamekuwa wakishindwa kuweka chandarua (neti) kwa ufasaha na hivyo wakati mwingine hujikuta wakilala na mdudu mbu ndani ya neti.
Kwa kuja [...]
Fahamu kuhusu mlipuko wa surua nchini
Serikali ya Tanzania imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa surua katika halmashauri saba huku watu 54 wakiwa wemethibitika kukumbwa na maradhi h [...]
Fahamu watu wanne wanaoweza kuharibu mahusiano yenu
Hivi karibuni mahusiano na ndoa za watu wengi hasa vijana zimekua zikivunja huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi au kushindwa kuvumilian [...]
Makalla: Ukimkosa mwanao nenda polisi au hospitali
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amesema Mzazi mwenye mtoto Panya Road kuanzia jana Septemba 15, 2022 asipomuona nyumbani asihangaike akamta [...]