Author: Cynthia Chacha

1 112 113 114 115 116 245 1140 / 2443 POSTS
P square jela maisha kwa kumbaka mtoto Coco Beach

P square jela maisha kwa kumbaka mtoto Coco Beach

Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam, imemhukumu Dunia Suleman (36) maarufu kama P square, kutumikia kifungo cha maisha jela, baada ya ku [...]
Bashungwa amsimamisha kazi Mkurugenzi Muheza

Bashungwa amsimamisha kazi Mkurugenzi Muheza

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ameagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muh [...]
Rais Samia alipa makavu Jeshi la Polisi

Rais Samia alipa makavu Jeshi la Polisi

Ni juzi tu tangu alipotoa maagizo ya kurekebisha utendaji wa Jeshi  la  Magereza nchini, Rais Samia Suluhu Hassan jana ameligeukia Jeshi la Polisi na [...]
Magazeti ya leo Agosti 31,2022

Magazeti ya leo Agosti 31,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Agosti 31,2022. [...]
Hii hairuhusiwi

Hii hairuhusiwi

Taarifa kwa Umma kutoka Wizara ya Maliasili JAMBO HILI HALIRUHUSIWI NDANI YA HIFADHI ZETU! Jambo hili tunaweza kulifurahia lakini ni hatari na H [...]
94.3% wakazi wa DAR wamehesabiwa

94.3% wakazi wa DAR wamehesabiwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema Mkoa huo umefanya vizuri kwenye zoezi la Sensa ya watu na Makazi ambapo mpaka asubuhi ya leo Agost [...]
Chama cha Wagumba cha paza sauti

Chama cha Wagumba cha paza sauti

Chama cha Wagumba Tanzania (CCWTZ) kimeahidi kusimamia haki za wagumba nchini ili waweze kuondokana na vitendo vya ukatili wanavyokumbana navyo ndani [...]
Mahakama yatupilia mbali ombi la Ruto

Mahakama yatupilia mbali ombi la Ruto

Mahakama ya Juu nchini Kenya imetupilia mbali ombi la Rais Mteule William Ruto la kupinga matumizi ya hati ya kiapo iliyowasilishwa na John Githongo, [...]
TAHADHARI: Mlipuko wa Kipindupindu

TAHADHARI: Mlipuko wa Kipindupindu

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametahadharisha kuwapo mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya mikoa na kuwataka Watanzania kuzingatia usafi [...]
NMB yazindua ATM ya kubadili fedha Uwanja wa KIA

NMB yazindua ATM ya kubadili fedha Uwanja wa KIA

Benki ya NMB jana imezindua mashine ya kutolea fedha (ATM) ya kwanza katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili [...]
1 112 113 114 115 116 245 1140 / 2443 POSTS
error: Content is protected !!