Author: Cynthia Chacha

1 112 113 114 115 116 270 1140 / 2700 POSTS
China yampongeza Rais Samia kwa maendeleo ndani ya Tanzania

China yampongeza Rais Samia kwa maendeleo ndani ya Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping wameshuhudia kusainiwa kwa mikataba na hati za makubaliano ya kimkakati 15. [...]
Magazeti ya leo Novemba 4,2022

Magazeti ya leo Novemba 4,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Novemba 4,2022. [...]
Ziara ya Rais Samia China itakavyofungua fursa ya fursa

Ziara ya Rais Samia China itakavyofungua fursa ya fursa

Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini China kufuatia mualiko alioupata kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Xi Jinping, inaenda kufungua mil [...]
Mgao wa umeme Dar kupungua ifikapo Desemba

Mgao wa umeme Dar kupungua ifikapo Desemba

Serikali imesema makali ya mgao wa umeme nchini yanaweza kupungua mwezi ujao wa Novemba baada ya kukamilika kwa miradi ya umeme ukiwemo wa Kinyerezi I [...]
Rais Samia azungumza na Waziri Mkuu wa China

Rais Samia azungumza na Waziri Mkuu wa China

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na ujumbe aliombatana nao kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu (Premie [...]
Magazeti ya leo Novemba 3,2022

Magazeti ya leo Novemba 3,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Novemba 3,2022. [...]
Tanzania yaongoza kuwa na Nyati wengi barani Afrika

Tanzania yaongoza kuwa na Nyati wengi barani Afrika

Tanzania inatajwa kuwa nchi inayongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya nyati barani Afrika kwa kuwa na jumla ya nyati 191,805. Hayo yamesemwa na Waziri [...]
Fahamu mikoa mitano vinara kwa ukataji miti

Fahamu mikoa mitano vinara kwa ukataji miti

Mikoa mitano imetajwa kuwa vinara wa ukataji miti hovyo na kuharibu vyanzo vya maji. Mikoa hiyo iliyotajwa kuharibu misitu na miti asili kwa kiasi [...]
Magazeti ya leo Novemba 2,2022

Magazeti ya leo Novemba 2,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Novemba 2,2022. [...]
Ruzuku yazidi kushusha bei ya mafuta

Ruzuku yazidi kushusha bei ya mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli nchini, bezi hizi zitaanza kutumika kuan [...]
1 112 113 114 115 116 270 1140 / 2700 POSTS
error: Content is protected !!