Author: Cynthia Chacha
Japan kutimiza ahadi ya miradi minane Tanzania
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan, Fumio Kishida na kuwasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan kutokan [...]
Aliyesambaza taarifa za uongo kifo cha Mwakyembe adakwa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, linawashikilia watuhumiwa wawili kwa makosa ya kimtandao kufuatia msako unaoendelea.
Taarifa iliyoto [...]
Pweza kufuatiliwa kieletroniki Kilwa
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa inaanzisha mfumo maalumu wa kufuatilia biashara ya pweza kielektroniki kuanzia wanapovuliwa, kusafirishwa hadi wanapouz [...]
Magazeti ya leo Septemba 26,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Septemba 26,2022.
[...]
Sh3 bilioni kutumika Samia Scholarship
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha [...]
Catherine Ruge wa Chadema akamatwa
Catherine Ruge ambaye ni Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa, amekamatwa na polisi Mkoa wa Mara muda mfupi kabla ya kuongea na waandishi wa hab [...]
Trilioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amesema Serikali itatumia kiasi cha shilingi trioni 2. 78 kw [...]
Serikali kuajiri walimu 42,697 mwaka 2022-23
Huenda uhaba wa walimu wa masomo ya Sayansi na Hesabu ukapungua nchini Tanzania na kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika masomo hayo mara baada ya Serik [...]
Magazeti ya leo septemba 24,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Septemba 24,2022.
[...]
Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka sababu ya moshi wa kupikia
Wastani wa Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka, kutokana na moshi wa kupikia.
Waziri wa Nishati January Makamba alisema hayo jana jijini Dodoma, [...]