Author: Cynthia Chacha
Kizz Daniel: Kweli begi langu moja lilisahaulika Nairobi
Msanii wa nchini Nigeria, Daniel Anidugbe maarufu Kizz Daniel amewaomba radhi Watanzania kwa kushindwa kufanya onyesho lake mkoani Dar es Salaam.
[...]
Magazeti ya leo Agosti 10,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Agosti 10,2022.
[...]
Picha za Muonekano wa Barabara ya Njombe- Makete KM 107.4
Muonekano wa Barabara ya Njombe-Makete km 107.4 ambayo imefunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika h [...]
Kamanda Muliro azungumzia sakata la Kizz Daniel
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro ameeleza hatua za Jeshi la Polisi kuhusu sakata la Msanii kutoka nchi Nigeria, Kizz Da [...]
AYO TV washushiwa rungu na TCRA
Televisheni ya mtandaoni ya Millard Ayo (AYO TV) inatakiwa kuomba radhi siku tatu mfululizo baada ya kuchapisha maudhui yanayoonyesha miili ya watoto [...]
Matukio aliyowahi kufanya Kizz Daniel
Juni 2022: Alizua hasira nchini Zambia, nusura show yake izuiwe kufuatia dharau kwa waandishi wa habari na kumsukuma shabiki yake mmoja aliyejaribu ku [...]
Kaoneka: aliyepigwa anakuwa tajiri, mimi najisikiaje?
Mwanamasumbwi Shabani Kaoneka amesikitishwa na kitendo cha Karim Mandonga kupewa nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari na kupata madili ya matangazo m [...]
Bei ya mbolea yashuka baada ya ruzuku ya Serikali
Huenda maadhimisho ya Nane Nane ya mwaka huu yatawapatia wakulima matumaini mapya katika msimu mpya wa kilimo baada ya Serikali kuzindua mpango wa ruz [...]
Kizz Daniel atolewa Polisi na Harmonize
Hatimaye mwimbaji wa muziki kutoka Nigeria, Kizz Daniel ametolewa katika kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar es salaam alipokuwa amewekwa rumand [...]
Magazeti ya leo Agosti 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Agosti 8,2022.
[...]