Author: Cynthia Chacha

1 119 120 121 122 123 245 1210 / 2444 POSTS
Rais Samia aridhia siku ya sensa kuwa ni mapumziko

Rais Samia aridhia siku ya sensa kuwa ni mapumziko

Taarifa kutoka kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa imeeleza kwamba Rais Samia Suluhu ameridhia siku ya sensa Agosti 23,2022 kuwa siku ya mapum [...]
Magazeti ya leo Agosti 18,2022

Magazeti ya leo Agosti 18,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Agosti 18,2022. [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Agosti 17,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Agosti 17,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Agosti 17,2022. Husikubali kupitwa, https://www.youtube.com/watch?v=78Zf- [...]
Shaka awasha moto Kaliua

Shaka awasha moto Kaliua

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amesema Chama hiko hakiko tayari kuona wala kusikia mtendaji wa [...]
Magazeti ya leo Agosti 17,2022

Magazeti ya leo Agosti 17,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Agosti 17,2022. [...]
Ummy: Serikali itakarabati Uwanja wa Mkwakwani

Ummy: Serikali itakarabati Uwanja wa Mkwakwani

Mbunge wa Tanga Ummy Mwalimu amesema atashirikiana na Chama cha Mapinduzi (CCM) kukarabati uwanja wa Mkwakwani uliofungiwa na Shirikisho la Mpira wa M [...]
Taulo za kike sasa bure

Taulo za kike sasa bure

Bidhaa za hedhi, zikiwemo tamponi na taulo za kike, zitapatikana bila malipo katika vituo vya umma nchini Scotland kuanzia Jumatatu. Mswada wa Bidh [...]
Ofisa wa Tume aliyepotea Kenya akutwa amefariki Kilombero

Ofisa wa Tume aliyepotea Kenya akutwa amefariki Kilombero

Saa chache baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya kumtangaze Dk William Ruto kuwa Rais mteule wa Kenya, mwili wa ofisa wa tume hiyo [...]
Magazeti ya leo Agosti 16,2022

Magazeti ya leo Agosti 16,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Agosti 16,2022. [...]
Alichosema Ruto baada ya ushindi

Alichosema Ruto baada ya ushindi

Baada ya Tume Huru ya Uchaguzi kumtangaza Dk William Ruto kuwa mshindi (Rais Mteule)  wa uchaguzi uliofanyika Agosti 9 mwaka huu, ametaja siri ya ushi [...]
1 119 120 121 122 123 245 1210 / 2444 POSTS
error: Content is protected !!