Author: Cynthia Chacha

1 119 120 121 122 123 256 1210 / 2559 POSTS
Serikali imelipa madai ya Sh. bilioni 954.04

Serikali imelipa madai ya Sh. bilioni 954.04

Serikali imelipa jumla ya Sh bilioni 954.04 ikiwa ni madai ya VAT sawa na asilimia 431.7 ya lengo la kulipa Sh bilioni 221.01 kwa mwaka 2021/22, Naibu [...]
Ahadi ya Rais Samia kwa WaKenya

Ahadi ya Rais Samia kwa WaKenya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amempongeza Rais wa Kenya William Ruto kwa kuapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa n [...]
Magazeti ya leo Septemba 13,2022

Magazeti ya leo Septemba 13,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Septemba 13,2022. [...]
Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii kutoka lebo ya Wasafi ameweka wazi kwamba amemshtaki Ostaz Juma, TCRA baada ya kumdhihaki na kuongea maneno [...]
Waziri Makamba azindua kiwanda cha kuzalisha transfoma

Waziri Makamba azindua kiwanda cha kuzalisha transfoma

Waziri wa Nishati, January Makamba amezindua kiwanda cha kuzalisha transfoma cha kampuni ya Elsewedy Electrica Industrial Complex kilichopo Kigamboni [...]
Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kutoa msaada wa kutosha kwa wajasiriamali wanawake na vijan [...]
Samia: Hakuna upungufu wa chakula

Samia: Hakuna upungufu wa chakula

Rais Samia Suluhu Hassan amesema bado Tanzania ina chakula cha kutosha na hakuna tishio la kuwa na uhaba. Alibainisha hayo jana katika uwanja wa Be [...]
Uber na Bolt kurejesha huduma

Uber na Bolt kurejesha huduma

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafir [...]
Bima ya afya kwa wote

Bima ya afya kwa wote

Rais Samia Suluhu amesema mkutano wa Bunge utakaoanza kesho, pamoja na mambo mengine, utapitia na kupitisha Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote [...]
Waziri Aweso amsimamisha kazi Meneja wa RUWASA

Waziri Aweso amsimamisha kazi Meneja wa RUWASA

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemsimamisha Kazi Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijini RUWASA wilaya Karagwe, Mhandisi Magai Kakuru kwa [...]
1 119 120 121 122 123 256 1210 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!