Author: Cynthia Chacha

1 123 124 125 126 127 241 1250 / 2406 POSTS
Magazeti ya leo Agosti 4,2022

Magazeti ya leo Agosti 4,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Agosti 4,2022. [...]
Uwepo wa Monkeypox nchini

Uwepo wa Monkeypox nchini

Serikali kupitia Wizara ya afya imesema kuwa Mpaka sasa hakuna mgonjwa aliyetambulika na kuthibitika kuwa na ugonjwa homa ya nyani (Monkeypox) hapa nc [...]
Utaratibu mpya wa NHIF wasitishwa

Utaratibu mpya wa NHIF wasitishwa

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesitisha mara moja utaratibu mpya wa matibabu uliotolewa na mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ulioanza kutumika [...]
Tanzania na Zambia zafufua uhusiano na ushirikiano

Tanzania na Zambia zafufua uhusiano na ushirikiano

Ukurasa mpya ndiyo unavyoweza kusema baada ya Tanzania na Zambia kufufua upya uhusiano wa kindugu na ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo kilim [...]
IGP Wambura afanya mabadiliko

IGP Wambura afanya mabadiliko

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IJP Camillus Wambura amefanya mabadiliko madogo kwa baadhi ya Makamanda wa Polisi ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi. [...]
Bilioni 100 ya Samia yapunguza makali bei ya mafuta

Bilioni 100 ya Samia yapunguza makali bei ya mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika [...]
Magazeti ya leo Agosti 3,2022

Magazeti ya leo Agosti 3,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Agosti 3,2022. [...]
Shaka: Tanzania tunaye muongoza njia

Shaka: Tanzania tunaye muongoza njia

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amewataka viongozi wa Chama na serikali kuwashirikisha v [...]
Marekani wamuua naibu wa Osama Bin Laden

Marekani wamuua naibu wa Osama Bin Laden

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kwamba kiongozi wa kundi la al-Qaida, Ayman al-Zawahiri, ameuawa kwa shambulizi la ndege isiyo na rubani ya Mare [...]
1 123 124 125 126 127 241 1250 / 2406 POSTS
error: Content is protected !!