Author: Cynthia Chacha
Mbuzi na Kondoo wapatwa na kizunguzungu
Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kimetoa taarifa ya matokeo ya Utafiti wa ugonjwa wa kizunguzungu kwa mbuzi na kondoo.
Utafiti huo uliofadhi [...]
Serikali: Hakuna kushusha viwango vya posho
Serikali imeonya Wamiliki wa Vyombo vya Usafirishaji nchini wanaopanga kushusha viwango vya posho kwa madereva baada ya kukubaliana na serikali kuhusu [...]
TANZIA: Kiroboto afariki dunia
Mpiga matarumbeta maarufu King Kiroboto OG amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka akiwa kwenye shoo katika Hoteli ya Giraffe, Temeke [...]
Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameagiza uchunguzi wa haraka wa madai ya ubadhilifu w [...]
Utakayoulizwa na karani wa sensa
Mbali na kutaja idadi ya wanakaya, karani wa sensa atauliza kama una/ ana matatizo ya kukumbuka au kufanya kitu kwa umakini. Swali hili linataka kujua [...]
23.3% kufafanuliwa kesho
Serikali imesema Jumanne Julai 26, 2022 itakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ili kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhus [...]
Magazeti ya leo Julai 25,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Julai 25,2022.
[...]
Ujumbe wa Rais Samia kwa bodaboda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewataka waendesha bodaboda na bajaji nchini kuacha kutumika katika Vitendo vya wizi [...]
Mama mzazi wa Don Jazzy afariki dunia
Mama mzazi wa Mwimbaji, Mtayarishaji na mmiliki wa lebo kubwa ya Muziki Barani Africa Mavin Records Michael Collins Ajereh maarufu kana Don Jazzy, ame [...]
Rais wa Burundi mwenyekiti mpya wa EAC
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amechukua rasmi nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kutoka kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyat [...]