Author: Cynthia Chacha

1 135 136 137 138 139 241 1370 / 2406 POSTS
Rais Samia aeleza umuhimu wa sekta binafsi

Rais Samia aeleza umuhimu wa sekta binafsi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema kuna umuhimu kwa viongozi na watendaji wa Serikali kutathimini utekele [...]
Magazeti ya leo Julai 15,2022

Magazeti ya leo Julai 15,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Julai 15,2022. [...]
Rais ajiuzulu

Rais ajiuzulu

Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaska amejiuzulu rasmi leo alhamisi Julai 14,2022 akiwa Singapore. Rais huyo aliamua kukimbia nchi yake siku ya Jum [...]
Aeleza namna bora ya kumuenzi hayati Mkapa

Aeleza namna bora ya kumuenzi hayati Mkapa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema njia bora ya kuendelea kumuenzi aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Benjamin Mkapa ni kuimarisha ushirikiano kati ya Se [...]
Wachezaji walioitwa kambini

Wachezaji walioitwa kambini

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Kim Poulsen ameita kikosi cha wachezaji 24, kitakachoingia kambini kwa ajili ya michezo ya kufuzu kwa [...]
Tanapa yapiga marufuku uvaaji wa sare zake

Tanapa yapiga marufuku uvaaji wa sare zake

Jeshi la Uhifadhi wa Wanyamapori na Misitu la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa (TANAPA) imeagiza watu waache kuvaa sare zake popote. Taarifa hii imetole [...]
Uwoya : natafuta mtu wa kunichekesha

Uwoya : natafuta mtu wa kunichekesha

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania Irene Uwoya, ametangaza ajira kwa mtu yeyote mchekeshaji atayekuwa na jukumu la kumchekesha muda wote. Kupitia [...]
Magazeti ya leo Julai 14,2022

Magazeti ya leo Julai 14,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Julai 14,2022. [...]
Watatu wafariki kwa ugonjwa usiofahamika

Watatu wafariki kwa ugonjwa usiofahamika

Wizara ya Afya imetangaza vifo vya watu watatu vilivyosababishwa na ugonjwa ambao bado haujafahamika ambavyo vimetokea katika Kituo cha Afya Mbekenyer [...]
Mkanda wa Nelson Mandela waibiwa

Mkanda wa Nelson Mandela waibiwa

Polisi wa Afrika Kusini wameanzisha msako wa kuwasaka washukiwa walioiba mkanda wa ndondi uliotolewa kwa Nelson Mandela na bingwa wa Marekani Sugar Ra [...]
1 135 136 137 138 139 241 1370 / 2406 POSTS
error: Content is protected !!