Author: Cynthia Chacha

Magazeti ya leo Juni 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Juni 9,2022.
[...]

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Juni 8,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatano Juni 8,2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v [...]

Majaliwa awasha moto
Waziri Kuu Kassim Majaliwa ametoa siku tano kuanzia leo Juni 8, 2022 hadi Juni 12, 2022 Wizara ya Kilimo iwe imeondoa pikipiki zote wizarani hapo na k [...]

Bei mpya za mafuta
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza Bei mpya za Mafuta zitakazoanza kutumika rasmi kuanzia Alkhamis Tarehe 09/ [...]

Abebewa mimba
Mwigizaji nyota wa filamu za Nollywood nchini Nigeria, Ini Edo amefunguka kwa mara ya kwanza yeye ni mzazi wa mtoto mmoja na alipata mtoto huyo kupiti [...]

Atoroka nyumbani kisa kufeli mitihani
Dorice Venance (16) mwanafunzi wa kidato cha tatu Shule ya Sekondari Migamboni, anadaiwa kutoroka nyumbani kwao Tabata Segerea tangu JUni 4, mwaka huu [...]

Nunua luku mapema
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema huduma ya kununua umeme kupitia Luku itakosekana kwa muda wa masaa mawili usiku kuamkia Alhamisi Juni 9 m [...]

Magazeti ya leo Juni 8,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Juni 8,2022.
[...]

Nafasi za kazi JamiiForums
JamiiForums is currently looking for volunteers in Content Management (Moderation) to work on the user-generated content on the platform aiming at hav [...]

Mwendokasi kwa watakaokwenda SabaSaba
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imeingia mkataba wa ushirikiano na Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) utakaowawezesha wananc [...]