Author: Cynthia Chacha

1 163 164 165 166 167 271 1650 / 2702 POSTS
Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Wizara ya Afya kupitia kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imetanga uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu [...]
Mradi wa umeme Rusumo wafika asilimia 95

Mradi wa umeme Rusumo wafika asilimia 95

Imeelezwa kuwa, kukamilika kwa mradi wa umeme wa Rusumo wa megawati 80 kutaimarisha hali ya upatikanaji umeme katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo kum [...]
Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waizri wa Nishati, January Makamba amesema wizara hiyo imegawa bure mitungi ya gesi kwa kaya masikini na mamalishe katika mikoa mbalimbali nchini, ili [...]
Fahamu madhara ya kukaa kwenye kiti muda mrefu

Fahamu madhara ya kukaa kwenye kiti muda mrefu

Wafanyakazi wanaokaa kwenye viti muda mrefu ofisini, wapo hatarini kuvimba miguu kutokana na kubana mishipa ya damu. Wanashauriwa kujenga tabia ya [...]
Majaliwa akagua daraja la mawe

Majaliwa akagua daraja la mawe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Julai 17, 2022 amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa Daraja la mawe katika barabara ya Iguguno-Kikhonda-Kinampundu [...]
Magazeti ya leo Julai 18,2022

Magazeti ya leo Julai 18,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Julai 18,2022. [...]
Tanzania 5 bora uzalishaji wa mionzi dawa

Tanzania 5 bora uzalishaji wa mionzi dawa

Tanzania ni kati ya nchi tano Afrika na ni nchi pekee Afrika Mashariki inayozalisha mionzi dawa. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri na Mbunge wa jimbo [...]
Wito wa Waziri Bashe kwa wakulima wa tumbaku

Wito wa Waziri Bashe kwa wakulima wa tumbaku

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewakata wakulima wa zao la Tumbaku nchini kujitokeza kwa wingi Kulima zao hilo kutokana na mpango wa sasa wa Serikali [...]
Mbaroni kwa kuuza jezi za feki za Simba na Yanga

Mbaroni kwa kuuza jezi za feki za Simba na Yanga

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikiria Said Furaha (31) kwa tuhuma za kukutwa na jezi feki za timu za Simba na Yanga dazani 296. Kamanda wa Poli [...]
Epuka matumizi ya mate wakati wa kujamiiana

Epuka matumizi ya mate wakati wa kujamiiana

Wakati matumizi ya mate yakiwa maarufu kwa wengi wakati wa kujamiiana, hasa yanapotumika kama aina fulani ya kilainishi hasa ukeni na hivyo kuleta lad [...]
1 163 164 165 166 167 271 1650 / 2702 POSTS
error: Content is protected !!