Author: Cynthia Chacha
Mashine za kuhesabu magari kufungwa barabarani
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), inawatangazia wananchi na wadau wote usafirishaji kuwa inaendelea na maboresho katika miundombinu ya barabara [...]
Tahadhari juu ya bei ya sukari duniani
Bei ya sukari inatarajiwa kupanda kutokana na vikwazo vya kuuza nje na mataifa kadhaa muhimu yanayozalisha bidhaa zinazotaka kudhibiti kupanda kwa bei [...]
Auawa na mumewe kwa kupigwa risasi za kichwa
Mwanamke maarufu jijini Mwanza aitwaye Swalha, aliyekuwa akijishughulisha na masuala ya urembo (make up artist) ameuawa kwa kupigwa na risasi na mumew [...]
Magazeti ya leo Mei 30,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Mei 30,2022.
[...]
Watu 31 Wafariki wakigombea chakula
Takriban watu 31 wamefariki wakati mkanyagano ulipozuka kusini mwa Nigeria wakati wa hafla ya kutoa misaada ya kanisa ambapo chakula kilikuwa kikigawa [...]
Atupa lawama kwa bodi
Mmiliki wa klabu ya Simba, Mohamed Dewji ametupia lawama kwa bodi ya timu hiyo baada ya kupoteza mchezo wa nusu fainali dhidi ya Yanga leo Mei 28, 202 [...]
Samia apeleka kicheko Katavi
Wananchi wa Kijiji na Kata ya Inyonga Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wameishukuru Serikali kwa kuwasogezea huduma ya maji karibu ambapo [...]
Mjamzito atolewa figo kwa siri
Nchi Uganda, Polisi wanachunguza tukio la madaktari kutoa figo kwa siri ya mjamzito Peragiya Muragijemana (20) mkazi wa Kijiji cha Lwemiggo, wilayani [...]
Shaka ajibu mapigo ya NCCR-Mageuzi
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amejibu tuhuma zilizotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini kwamba Chama cha Map [...]
Magazeti ya leo Mei 28,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Mei 28,2022.
[...]