Author: Cynthia Chacha
Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji
Wakazi wa jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil.
Meya wa Jiji la Mwanza, [...]
10 mbaroni kifo cha askari Loliondo
Jeshi la Polisi limewakamata watu 10 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizojitokeza wakati wa uwekaji wa mipaka kwenye eneo la pori tengefu la Lolion [...]
Sirro aridhishwa na hali ya Loliondo
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amefanya ziara katika eneo la Loliondo, Ngorongoro kwa ajili ya kujionea zoezi linaloendelea la uwek [...]
Magazeti ya leo Juni 14,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 14,2022.
[...]
ACHPR yatoa agizo kwa serikali ya Tanzania sakata la Ngorongoro
Tume ya haki za binadamu ya nchi za Umoja wa Afrika(ACHPR) imeitaka serikali ya Tanzania kuchukua hatua kwa kile kinachoendelea Ngorongoro.
Urgent [...]
Aliyekuwa Meya autaka tena umeya
Meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Juma Raibu aliyevuliwa wadhifa huo baada ya kupigiwa kura za siri na madiwani za kukataliwa am [...]
Mambo safi uwekaji alama za vibao
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepokea taarifa ya utekelezaji wa awamu ya pili ya zoezi la anuani za Makazi ikihusisha uwekaji wa al [...]
Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali imesema itawashitaki waliohamasisha wananchi wafanye vurugu Loliondo na wanaopotosha kuhusu h [...]
Mtanzania amtwanga Mjerumani kwa TKO
Bondia Mtanzania anayeishi nchini Sweden Awadhi Tamim amemtwanga Bondia Shkelqim Ademaj wa Ujerumani kwa TKO katika pambano la raundi 10 lililofanyika [...]
Magazeti ya leo Juni 13,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Juni 13,2022.
[...]