Author: Cynthia Chacha

1 178 179 180 181 182 255 1800 / 2548 POSTS
Shaka ajibu mapigo ya NCCR-Mageuzi

Shaka ajibu mapigo ya NCCR-Mageuzi

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amejibu tuhuma zilizotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini kwamba Chama cha Map [...]
Magazeti ya leo Mei 28,2022

Magazeti ya leo Mei 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Mei 28,2022. [...]
Nchi za Afrika zenye monkeypox

Nchi za Afrika zenye monkeypox

Morocco na Sudan zinachunguza visa vinavyoshukiwa vya ugonjwa wa monkeypox, imesema taasisi hiyo ya afya barani. Hii inakuja baada ya milipuko ya v [...]
Serikali yaongeza posho za safari

Serikali yaongeza posho za safari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuupiga mwingi kwa kutoa kibali cha kurekebisha posho ya kujikimu ya safar [...]
AC na Wi-Fi ndani ya mwendokasi mpya

AC na Wi-Fi ndani ya mwendokasi mpya

Serikali imesema kuwa ina mpango wa kuweka huduma ya intaneti (Wi-Fi) na viyoyozi katika mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) kwa lengo la kukuza ushin [...]
Magazeti ya leo Mei 27,2022

Magazeti ya leo Mei 27,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Mei 27,2022. [...]
Kikokotoo kipya Julai Mosi

Kikokotoo kipya Julai Mosi

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Jamal Katundu ametangaza rasmi kanuni mpya ya Mafao ya Pensheni kufuatia [...]
Vijana 100 wapewa mtaji wa nguruwe

Vijana 100 wapewa mtaji wa nguruwe

Vijana 100 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamepewa msaada wa nguruwe 100 na halmashauri hiyo ikishirikiana na mradi wa Youth Ag [...]
Mwendokasi 1,500

Mwendokasi 1,500

Wakati Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) ikitarajia kufanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi yaendeyo haraka maarufu mwendokasi, Wakala wa [...]
Sababu ya Rais Samia kuelekeza tuzo kwa Magufuli

Sababu ya Rais Samia kuelekeza tuzo kwa Magufuli

Licha ya kupata tuzo ya heshima kuhusu ujenzi wa barabara barani Africa, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameelekeza tuzo hiyo kwa mtangulizi wake [...]
1 178 179 180 181 182 255 1800 / 2548 POSTS
error: Content is protected !!