Author: Cynthia Chacha

1 181 182 183 184 185 241 1830 / 2409 POSTS
Kili Paul avamiwa na watu wasiojulikana

Kili Paul avamiwa na watu wasiojulikana

Kili Paul maarufu kama Mmasai wa Tiktok amevamiwa na watu wasiojulika waliokua wamebeba silaha kama mapanga na visu  ambapo walimjeruhi wakati akijari [...]
Tulia aonya mawaziri teuzi za mabalozi

Tulia aonya mawaziri teuzi za mabalozi

Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewasihi mawaziri kuzingatia vigezo pindi wanapochagua mabalozi wa wizara zao, na sio kuwachagua kwa sa [...]
Mo Salah aibuka mchezaji bora

Mo Salah aibuka mchezaji bora

Mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah amechaguliwa kuwa Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Soka kwa 2021/22. Salah, 29, amechangia [...]
Zelensky: Naomba kuhutubia Muungano wa Afrika

Zelensky: Naomba kuhutubia Muungano wa Afrika

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa ombi jipya la kutaka ahutubie wakuu wa mataifa ya Muungano wa Afrika (AU), kulingana na Kamishna wa AU, Mous [...]
Rais atatimiza ahadi yake Mei Mosi?

Rais atatimiza ahadi yake Mei Mosi?

Macho na masikio ya wafanyakazi wa umma na sekta binafsi yataelekezwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi sherehe za Mei Mosi [...]
Tanzania kuomboleza siku 2 kifo cha Mwai Kibaki

Tanzania kuomboleza siku 2 kifo cha Mwai Kibaki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Hayati Rais Mstaaf [...]
Magazeti ya leo Aprili 29,2022

Magazeti ya leo Aprili 29,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa 29,2022. [...]
Mambo 5 ya kufanya kwenye gauni la harusi

Mambo 5 ya kufanya kwenye gauni la harusi

Gauni lako la harusi ni nzuri sana hivi kwamba unatamani ungeivaa kila wikendi! Kwa bahati mbaya, huwezi. Nguo hiyo hakika ni ya kupendeza kwa moyo [...]
CCM yakubali deni

CCM yakubali deni

Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Tiwtter, kimetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu madai ya wakandarasi dhidi ya Uhuru [...]
Zingatia haya kabla huja-delete marafiki

Zingatia haya kabla huja-delete marafiki

Katika maisha ya kila siku, pale mtu anapokuwa kwenye changamoto, baadhi ya watu huzitumia kupima uthabiti wa mahusiano waliyonayo na marafiki zao. [...]
1 181 182 183 184 185 241 1830 / 2409 POSTS
error: Content is protected !!