Author: Cynthia Chacha
Rais atatimiza ahadi yake Mei Mosi?
Macho na masikio ya wafanyakazi wa umma na sekta binafsi yataelekezwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi sherehe za Mei Mosi [...]
Tanzania kuomboleza siku 2 kifo cha Mwai Kibaki
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Hayati Rais Mstaaf [...]
Magazeti ya leo Aprili 29,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa 29,2022.
[...]
Mambo 5 ya kufanya kwenye gauni la harusi
Gauni lako la harusi ni nzuri sana hivi kwamba unatamani ungeivaa kila wikendi! Kwa bahati mbaya, huwezi.
Nguo hiyo hakika ni ya kupendeza kwa moyo [...]
CCM yakubali deni
Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Tiwtter, kimetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu madai ya wakandarasi dhidi ya Uhuru [...]
Zingatia haya kabla huja-delete marafiki
Katika maisha ya kila siku, pale mtu anapokuwa kwenye changamoto, baadhi ya watu huzitumia kupima uthabiti wa mahusiano waliyonayo na marafiki zao.
[...]
TMDA: Tahadhari dawa za nguvu za kiume
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba(TMDA), imeonya kuwa watumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume pasi na maelekezo ya wataalamu wa afya wako hatarini ku [...]
Amuua baba yake baada ya kumkuta amelala na mkewe
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga , linamshikilia Mwandu Shija (32) mkazi wa Ndala Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Shija Ro [...]
Magazeti ya leo Aprili 28,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Aprili 28,2022.
[...]
Diamond kufuturisha bungeni
Msanii na Mkurugenzi Mkuu wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz, leo Jumatano Aprili 27,2022 anatarajiya kufuturisha waheshimiwa [...]