Author: Cynthia Chacha
Kim Jong-un bila barakoa
Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un ameonekana akihudhuria mazishi ya afisa mkuu wa Korea Kaskazini akiwa hajavaa barakoa licha ya kuwa nchi hiyo ipo [...]
Rais Samia ang’ara tena kimataifa
Kwa mujibu wa jarida la TIME 100, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu ametajwa katika orodha ya viongozi 100 wenye ushawishi mkubwa d [...]
Magazeti ya leo Mei 24,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Mei 24,2022.
[...]
Fahamu Ukweli kuhusu Monkeypox
Hivi karibuni zaidi ya watu 80 katika takriban nchi 12 za Ulaya wameambukizwa na Homa ya nyani.
Kesi ya kwanza iliyoripotiwa nchini Uingereza ilik [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube le Mei 23,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatatu Mei 23,3022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v [...]
Museveni : Kuleni mtama na mihogo
Hotuba ya Rais wa Uganda Yoweri Museveni kuhusu kupanda kwa bei ya bidhaa haikutoa ahueni kwa mamilioni ya Waganda ambao wako kwenye ukingo wa kutumbu [...]
Mbunge mwingine alia bungeni
Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa amemwaga machozi bungeni wakati akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwen [...]
Sababu ya Mbunge kuruka sarakasi bungeni
Mbunge wa Mbulu Vijijini (CCM) Flatei Massay ameruka sarakasi bungeni ikiwa ni kuonyesha msisitizo wa hoja yake kuwa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imek [...]
Zuchu apata ajali
Msanii wa muziki wa bongo fleva kutokea lebo ya WCB, Zuchu amepata ajali iliyomsababishia majeraha katika goti lake.
Kupitia ukurasa wake wa Instag [...]
Walioomba Sensa wapita idadi inayohitajika
Watu 674,484 wameomba nafasi za ajira za muda za Sensa ya Watu na Makazi ikiwa imezidi idadi kamili inayohitaji kwa ajili ya shughuli hiyo ni 205,000. [...]

