Author: Cynthia Chacha

1 189 190 191 192 193 244 1910 / 2434 POSTS
SIMBA SC: Tunaomba Ulinzi

SIMBA SC: Tunaomba Ulinzi

Klabu ya soka ya Simba imetoa taarifa kusikitishwa na kile wanachodai kuwa ni shutuma zilizotolewa na Kocha Msaidizi wa timu ya Orlando Pirates Mandla [...]
ACT- Wazalendo kooni mwa TAMISEMI

ACT- Wazalendo kooni mwa TAMISEMI

Ofisi ya Msemaji wa Kisekta wa Chama cha ACT- Wazalendo ikiongozwa na Bi. Kulthum J. Mchuchuli, imetoa maoni kuhusu hotuba ya bajeti ya TAMISEMI iliyo [...]
Afariki akiigiza filamu ya Yesu

Afariki akiigiza filamu ya Yesu

Mwanafunzi wa Chuo cha Seminari cha Clariantian University nchini Nigeria, Suel Ambrose amedondoka na kufariki akiwa anaigiza filamu ya Yesu maarufu k [...]
Air Tanzania yatoa tamko

Air Tanzania yatoa tamko

Shirika la ndege la Tanzania limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa limesitisha safari zake kuelekea uwanja wa ndege wa Chato, Geita sababu [...]
Zainab ammwagia mtu uji Zanzibar

Zainab ammwagia mtu uji Zanzibar

Mkazi wa Mtaa wa Zanzibar, Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, Adamu Mohammed ameliomba Jeshi la Polisi limkamate mama mzazi wa mkewe, Zainab Ally kwa ma [...]
Magazeti ya leo Aprili 19,2022

Magazeti ya leo Aprili 19,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Aprili 19,2022. [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 18,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 18,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatatu Aprili 18,2022. Husikubali kupitwa. https://www.youtube.com/watc [...]
Aliyekuwa Meya wa Moshi ang’oa misaada yake

Aliyekuwa Meya wa Moshi ang’oa misaada yake

Juma Raibu aliyekuwa Meya Mstahiki wa Manispaa ya Moshi ambaye hivi karibuni aling’olewa wadhifa huo ameamua kwenda kung’oa misaada aliyowahi kuitoa k [...]
Filamu ya Royal Tour jijini New York leo

Filamu ya Royal Tour jijini New York leo

Filamu ya Royal Tour inayozinduliwa leo jijini New York, nchini Marekani ambayo mhusika mkuu ni Rais Samia Suluhu Hassan, inakwenda kuitangaza Tanzani [...]
1 189 190 191 192 193 244 1910 / 2434 POSTS
error: Content is protected !!